Elections 2010 IRINGA ilitekwa na shamrashamra za CHADEMA jana picha

mnyikungu

JF-Expert Member
Jul 26, 2009
1,960
2,464
wandugu jana iringa ilitawaliwa na maandamano makubwa ya chadema, mji mzima ulijaa furaha huku watu wakiimba mafisa hatuwataki na kuwaacha wafuasi wa ccm hoi.picha kutoka francis godwin.blogspot.com
 

Attachments

  • IMG_4840.JPG
    IMG_4840.JPG
    27.6 KB · Views: 126
  • IMG_4874.JPG
    IMG_4874.JPG
    19.5 KB · Views: 126
  • IMG_4818.JPG
    IMG_4818.JPG
    26.5 KB · Views: 154
  • IMG_4830.JPG
    IMG_4830.JPG
    25.9 KB · Views: 117
  • IMG_4855.JPG
    IMG_4855.JPG
    21.5 KB · Views: 117
  • 3.JPG
    3.JPG
    26.5 KB · Views: 105
  • IMG_4864.JPG
    IMG_4864.JPG
    23 KB · Views: 115
Hata Moshi Chadema walihitimisha kwa shamrashamra kambambe. Wakati CCM wakiwa kama watu wasiozidi 40;
 
wandugu jana iringa ilitawaliwa na maandamano makubwa ya chadema, mji mzima ulijaa furaha huku watu wakiimba mafisa hatuwataki na kuwaacha wafuasi wa ccm hoi.picha kutoka francis godwin.blogspot.com

mjengwa hawezi kuandika haya
 
mwamko kwa Vijana ni mkubwa sana na hata vituoni asubuhi vijana walikuwa wamejaa saana. safari hii mabadiliko lazima
 
Kila kona watu ambao tayari wamemaliza kutoa hukumu wanaonyesha kuwa na matumaini makubwa ya CHADEMA kuibuka na ushindi wa kishindo, Nami nimepiga kura yangu, na nimepita maeneo ya Soko Kuu na hata barabarani, hakuna watu wengi kama ilivyo kawaida na maduka mengi yamefungwa bado.
 
Back
Top Bottom