tweenty4seven
JF-Expert Member
- Sep 21, 2013
- 15,672
- 19,187
Huwa anafundisha kina mama kukabiliana na changamoto mbalimbali, ikiwemo hili la kupokea taarifa za msiba...
Nimemuona dec alikua kavimba uso na tumboYeah unajua Sabaha alikua mbishi sana wa kuacha pombe ilifika mahali mkewe alimkatia tamaa
Sent using Jamii Forums mobile app
Atakuwa haamini maskini.sio kila mtu anapata uchungu kwenye mazishi ataumia baadaeMsibani alikua mkavu hatari,mpka watu tukawa tunajiuliza kunani tena,nahisi harufu ya ugomvi mda si mrefu toka kwa familia ya mke
Sent using Jamii Forums mobile app
Hii picha ni ya zamani kabla mume hajafa, alishawah kuipost tena.Amepost tena leo.kwa kweli msiba si mchezo.sura yake imeporomoka na amezeeka that.kule kunawiri kote kumeisha. Yani amechakaa ghafla sio mchezo kufiwa na mume.View attachment 1370866
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndoa yake yeye vipi? Kwa nini mume wake amekufa ghafla sana huku akiwa na afya nzuri tu muda mfupi kabla ya hapo? Muda huu wengine hatuhitaji kusikia habari za ndoa alizoimarisha, tunataka kujua kuhusu mumewe.
Kumbe ana mzigo wa kutosha..Amepost tena leo.kwa kweli msiba si mchezo.sura yake imeporomoka na amezeeka that.kule kunawiri kote kumeisha. Yani amechakaa ghafla sio mchezo kufiwa na mume.View attachment 1370866
Sent using Jamii Forums mobile app