Irdp

Irdp

SOSTENESS J.N

Member
Joined
Feb 13, 2013
Posts
83
Reaction score
19
SIJUI NIMEPOTEZA AU LAAH,PO


TELEA MBALI MI NAENDA NA LIKOZI LA ENVIROMENTAL PLANNING AND MANAGEMENT

  • A%20S-fire1.gif
    • A%20S-fire1.gif

    • A%20S-fire1.gif
      • A%20S-fire1.gif
        • A%20S-fire1.gif
          • A%20S-fire1.gif
            • A%20S-fire1.gif
              • A%20S-fire1.gif













 
inaonesha hujiamini, msomi hapaswi kua hivyo, hiyo kozi ni nzuri. Kasome kijana! Kila kada ina umuhimi wake katika ujenzi wa taifa. Alaf swala lengine, hiyo kozi unajifunza maswala ya enviromental na development planning. So kuna advantage mbili. Karibu irdp.
 
Tatizo ni kada niliyonayo sasa inanizingua,ila nashukuru hata nimepata chuo maana vimarks vyangu vilikuwa vinaniumiza kichwa
 
Tatizo ni kada niliyonayo sasa inanizingua,ila nashukuru hata nimepata chuo maana vimarks vyangu vilikuwa vinaniumiza kichwa

kakaze msuli kitabu kigumu pale, kuna hesabu za kutosha. Andaa kabisa scientific calculator
 
inaonesha hujiamini, msomi hapaswi kua hivyo, hiyo kozi ni nzuri. Kasome kijana! Kila kada ina umuhimi wake katika ujenzi wa taifa. Alaf swala lengine, hiyo kozi unajifunza maswala ya enviromental na development planning. So kuna advantage mbili. Karibu irdp.[/QUOTE
 
Tatizo ni kada niliyonayo sasa inanizingua,ila nashukuru hata nimepata chuo maana vimarks vyangu vilikuwa vinaniumiza kichwa

Mkuu hongera kwa kupata chuo bwana maana ulipata tabu sana vipi nacte wametoa matokeo yenu?
 
Ilajua kuwa utakuwa wa mwisho kumaliza kwa mwaka wa tatu Tanzania nzima na pale bwana sio masihara mambo yamebadilika shule pale imebana saaana jipe cofindence ila andaaa kichwa tu
 
nacte hawaja weka kwenye website mi nimeona kwenye website ya IRDP,
MJOMBA HESABU NITAJITAHIDI SAFARI HII NIKOMAE NAE MAANA ANA HISTORIA NA MIMI KINOMA NOMA YANI,ILA SASA HIVI NITAKAZA SANA
 
Mungu pamoja nasi,kwa wale wapenda soka mi nitakuwa kapten wenu sawa wana irdp
 
safi sana kuwapata wadau wa mipango,sasa vip tunaenda lini na hizo join tunaziptajepataje,tusaidiane wadau
 
Back
Top Bottom