Iran, baada ya kauli za kibabe kuwa atapiga nchi zote marafiki wa Marekani Mashariki ya kati, baada ya kurusha makombora hovyo hovyo kwa nchi za kiarabu, na Waarabu kuamua kuwa na kikao kesho ili kupambana kwa pamoja dhidi ya Iran, leo Rais wa Iran ameyaomba radhi mataifa jirani.
Ombi hilo la msamaha la Iran, inaonekana limepuuzwa na mataifa ya Kiarabu. Yanaendelea na kikao chao.
Wakati huo huo, Trump amesema kuwa leo kutakuwa na mashambulio makali dhidi ya Iran, na ameonya kuwa kutakuwa na vifo:
Iran's president apologizes to neighbors, defies US demands
Iran's president apologized for attacks on regional countries but kept up criticism of America.Ombi hilo la msamaha la Iran, inaonekana limepuuzwa na mataifa ya Kiarabu. Yanaendelea na kikao chao.
Wakati huo huo, Trump amesema kuwa leo kutakuwa na mashambulio makali dhidi ya Iran, na ameonya kuwa kutakuwa na vifo:
- TRUMP VOWS MORE STRIKES: “Today Iran will be hit very hard,” Trump said on social media this morning, adding that “areas and groups of people” in Iran are “under serious consideration for complete destruction and certain death.”