Overall, tech ya Iran haiwezi kuwashinda wamarekani. Inaweza ikawa ni uzembe wa marekani vilevile, kama Iraq wakati wale militants walipokuwa wana intercept signals za drones za kipelelezi wakitumia $26 commercial software, hivyo kujua in advance wamarekani wana mpango gani. Hiyo haiwafanyi kuwa na tech bora kuliko wamarekani.Tech ya Iran imeshaonyesha kuwashinda US, watafute namna nyingine kwani it is not acceptable to recycle the plan. US wamesha prove failure kwenye hii tech...