Muda SI MREFU NITAANZISHA COUTDOWN TO WORLD WAR 3!
Nilitaka nifanye hivyo lakini sitaki kuharibu mijadala ya UFISADI!
Bwa shee, hiyo WW3 atapigana nani dhidi ya nani????
wakubwa wote wako pande moja, na vibaraka wao. ndio maana sisi waswahili wa afrika hata comrade mugabe tunamtenga, kisa kuridhisha wakubwa!!!!
Mkuu Mahesabu,
Tatizo ni namna ya kuivamia Iran. Jeshi la anga la Israel linahitaji airbase ya wamarekani pale Iraq au Turkey.
Halafu tatizo lingine ni jinsi waves za mashambulizi ya Iran ikiwa itashambuliwa, kwani Iran nayo ina ndege za kijeshi na makombora na itakuwa inajikumbusha vita kati yake na Iraq ambayo haikwisha kirahisi.
Kwa ujumla ni kwamba ikiwa Israel ilishindwa kustahimili mashambulizi ya Hizbolah ambayo yalikuwa hayaishi pale Lebanon je inaweza kustahimili mashambulizi ya Iran bila msaada wa jeshi la anga la Marekani?
Iran is weak and the lost war with Iraq!!.
Iran is weak and the lost war with Iraq!!.
waizrael Ndio Sosi Ya Matatizo Yote, Na Kwa Vile Wameshika Uchumi Wa Dunia Na Technolojia Wanaamua Kitu Chochote Wanachotaka Bila Kujali Utu,,,,,,,,kuanzia Blood Diamond Mpaka Ifm Mastermind Wake Ni Majewish, Governor Wote Wa Benki Kuu Ya Marekani Tangia Mwaka 1970 Ni Majews ,ila Ninadhani Hii Tabia Yao Itaifikisha Dunia Pabaya
it is not ifm its IMF
ahsante kwa kuelewa.
Tawire Mushi...!
mahesabu is AYUBU 31:1
_________________
WATANZANIA WENYE ASILI YA ASIA NDIVYO WALIVYO.....!
Reply With Quote Multi-Quote This Message Quick reply to this message Thanks
The Following 2 Users Say Thank You to mahesabu For This Useful Post: Remove Your Thanks
jmushi1 (Today), Mama (Today)