Iran to 'hit Tel Aviv' if attacked

Madai ya US na Israel kwamba Iran inatengeneza mabomu hayana "substantive evidence", kwa sababu Iran imesaini mkataba wa Nuclear Non-Proliferation Treaty na nuclear facilities zake ziko monitored na International Atomic Energy Agency (IAEA).

Wao IAEA wamekwishasema kwamba Iran inatengeneza nyuklia kwa ajili ya uzalishaji umeme tu na si vinginevyo kama ambavyo Uingereza na nchi zingine zilizoendelea zinavyotumia nyuklia kuzakisha umeme.

Kiini cha mgogoro huu ni "military supremacy" ambapo Israel inajaribu kuitawala Middle East na kuhakikisha hakuna kipingamizi hasa kutoka Iran.

Ni sababu tu za KWENDA VITANI KAMA ILIVYOKUWA KWA IRAKI KWANI NO WMD WAS FOUND!

Ila naona kweli kuna vita vinaweza kutokea kwasababu ya kauli mbili hadi sasa...

1)Wamarekani wametoa taarifa za YELLOW CAKE kuwa waliisafirisha kutoka Iraki..Na yellow cake ni ya kutengeneza Nyuklia...!

Hivyo ni kama njia nyingine ya ku justify vita ya IRAKI kwa mlango wa nyuma kwamba ni kweli walikuwa wakitengeneza Silaha za Maangamizi!

2)Obama alitoa kauli ya tofauti kuwa itabidi awasiklilize makamanda wa jeshi kabla hajayaondoa majeshi ya marekani kutoka Iraqi kwani naona sasa keshagundua kunaweza kuwa na vita nyingine dhidi ya IRAN na hataweza kuyaondoa majeshi mara moja kama mpango wake wa awali ulivyokuwa.

Na pia kauli zake sasa zinaendana na za Amiri jeshi mkuu wa Marekani na si kama ilivyokuwa kabla ambapo kauli za Amiri jeshi mkuu ziliendana na za Bush.

Na ndio maana Bush anataka kuwatumia waisraeli waivamie Iran baada ya mpango wake wa kulitumia jeshi la USA kuelekea kukwama kutokana na ushauri wa Makamanda wa jeshi kuwa haina haja ya vita kabla ya mazungumzo..Na Israel ni OPTION YAKE YA MWISHO kwani baada ya hapo watakuwa na haki ya kuingia vitani kumsaidia ALLY wao namba moja.

Kazi IPO!
 
Obama naye anaandaa TRIPU YA DUNIA ITAKAYOMPELEKA ISRAEL,GERMANY,FRANCE NA KWINGNEKO!
Naona anataka awasikilizie kwani madili yashainiwa mengi na utawala wa OBAMA ni wa tofauti na BUSH.
 
IRAN ni debe tupu,hawezi ku gamble na vita,learning from past engagements elsewhere.israel atakuja na 'blitzkreig'.Airspace yote ya iran,itakuwa no go zone for iranian war planes.and then kumaliza vita haraka using scorched earth policy,israel will bomb iran back to the stone age.iran anajua fika,kwamba israel this time will be swift,before world opinion gathers momentum
 
Mzee naona una undermine iran, Kumbuka marekani peke yake bila msaada wa nchi marfiki isingeweza kumg'oa sadmu na sasa samu katoka ila bado wana straggule.Na ukipiga mabumu Vyanzo vya masfuta vya marekani unakuwa umeimaliza
 
IRAN ni debe tupu,hawezi ku gamble na vita,learning from past engagements elsewhere.israel atakuja na 'blitzkreig'.Airspace yote ya iran,itakuwa no go zone for iranian war planes.and then kumaliza vita haraka using scorched earth policy,israel will bomb iran back to the stone age.iran anajua fika,kwamba israel this time will be swift,before world opinion gathers momentum

Mkuu,

Kufikiria kwako kusiwe limited kiasi hicho. Unasema Israel itatumia "scorched earth policy"? unajua maana ya tactic hii?

Scorched earth policy inajumuisha kuangamiza kila kitu kuanzia miundombinu mpaka akiba ya chakula ili adui asiwe na jinsi ya kufanya chochote na Iran haitakuwa imelala usingizi.

Option hii haipo kwa Israel kwani wao wanataka tu kushambulia nyuklia facilities za Iran na si vinginevyo.

War ni strategy na plans si kwenda kushambulia tu. Unafahamu kwamba Iran sasa imenunua defensive shields kutoka Russia ziitwazo S-300? Hizi ni very softificated air defence missile systems.

Kwa hio kinachosubiriwa ni tactical considerations ambazo zita-dictate mashambulizi iwe mapema miezi michache ijayo au kabla ya November.
 
Mzee ninakuelewa, Ila ninachojaribu kusem ni kwama, Ilani wamekuwa na sanction miaka mingi sana sasa na bado wana survive. Kilimo cha iran ni moja wapo ya nchi zenye technology ya irrigation ya hali ya juusana duniani kwahiyo swala la kufa njaa silioni.

Pili kama marekani ilitumia osama kusambaratisha USSR ndivyo Russia inataka kutumia Iran kuuiua marekani kuchumi
 
mkuu nimekupata,unlike america,israel is not ready for a prolonged war,to finish a war instantly,scorched earth policy may be the answer,before iran knows,israel will be all over her,hii russia,isikutishe,with the breakup of the soviet union,mrusi ni mbabe verbally tu.if war is to come,whoever controls the airspace,will emerge victorious.i dont see iran commanding the air
 
mkuu nimekupata,unlike america,israel is not ready for a prolonged war,to finish a war instantly,scorched earth policy may be the answer,before iran knows,israel will be all over her,hii russia,isikutishe,with the breakup of the soviet union,mrusi ni mbabe verbally tu.if war is to come,whoever controls the airspace,will emerge victorious.i dont see iran commanding the air

Sawa nimekusikia.
 
Mzee naona una undermine iran, Kumbuka marekani peke yake bila msaada wa nchi marfiki isingeweza kumg'oa sadmu na sasa samu katoka ila bado wana straggule.Na ukipiga mabumu Vyanzo vya masfuta vya marekani unakuwa umeimaliza

Hapo ndipo watu watatengeneza pesa...Bush mafuta aliyonayo tayari yatapasuka mara mia kwa faida!
Halafu na Wenzake watakuwa wanauza SILAHA TU!
 
Mzee ninakuelewa, Ila ninachojaribu kusem ni kwama, Ilani wamekuwa na sanction miaka mingi sana sasa na bado wana survive. Kilimo cha iran ni moja wapo ya nchi zenye technology ya irrigation ya hali ya juusana duniani kwahiyo swala la kufa njaa silioni.

Pili kama marekani ilitumia osama kusambaratisha USSR ndivyo Russia inataka kutumia Iran kuuiua marekani kuchumi

Muisraeli amekuwa akifanikiwa kuwapiga waarabu mara zote tena kwa muda mfupi sana!

Lakini hivi karibuni..Hizbolah huko Lebanon wamegeuka kuwa tishio na Israel wanakumbuka hilo na lilipelekea umaarufu wa Olmert kushuka sana kwani majasusi hayo yanayoongozwa na Hassan NASSRALAH....

Wamejikita kwenye mahandaki na wao ni kama PROXY YA IRAN..Na walifanikiwa kuwasimamisha wanajeshi wa Israeli kuivamia Lebanon kwenye vita yao iliyotokea mwaka 2006 kati ya mwezi July kama sikosei na vita ilipigwa hadi kwenye miji maarufu ya Israel...

Hivyo wenye kudhani hiyo vita itakuwa ndogo wanaota!

Halafu tatizo lingine ni kwamba hata hao wanajeshi walioko hapo Iraqi wa USA watageukwa na kila mtu na hapo Mmarekani anaweza kurudiana na Msunni!

Sasa hapo ni VURUGU TUPU!

Sasa unafikiri na AFRIKA HATUTA CHEZA MANYANGA?

Tena mafuta yenyewe kabla hujapewa lazima uchaguwe bwana wa kukupa!

What about our own oil Exploration?

NB:Kwenye pointi ya WARUSI KUCHUKIA KITENDO CHA WAMAREKANI KUMTUMIA BIN LADEN KUIANGUSHA URUSI NAKUBALIANA NA WEWE NA PIA NAKUBALI USA WAWE MAKINI.
 
Our Own Oil Exprolation Si Ndio Kuna Abdlahamani Kinana Ambao Uzawa Ulisha Expire....sijui Wacha Tuangalie Wapi Tutafika
 
Kinana Ndio Director Wa Artumas, Nadhani Kampuni Yake Ina Share,

Mikataba hiyo imesainiwa chini ya waziri gani?
Je wananchi wa MTWARA WANAPATA UMEME BILA YA KUKATIKA KAMA MROPE ALIVYODAI?
Na mkataba huo wa TANESCO ulisainiwa kwa ridhaa ya serikali ipi? Ya awamu ya nne ama ya tatu?
 
mambo Yote Serikali Ya Tatu, Mr Clean, Alikuwa Anasifisha Kila Kona
 
that Is What We Want To See Before August, Watu Wafikishwe Kwnye Vyombo Vya Sheria, Hiyo Haitoshi Kesi Ziishe Kwa Mwezi Mmoja Hukumu Itoke...sio Kama Kesi Ya Maharu Ya Miaka Mitatu Na Anakula Kuku Tu
 
that Is What We Want To See Before August, Watu Wafikishwe Kwnye Vyombo Vya Sheria, Hiyo Haitoshi Kesi Ziishe Kwa Mwezi Mmoja Hukumu Itoke...sio Kama Kesi Ya Maharu Ya Miaka Mitatu Na Anakula Kuku Tu

Kama ukifanya kweli kabla ya kwenda kukutana na BUSH August basi tutakupigia kampeni 2010.
Na hiyo ya Mahalu kwanini ichukuwe muda wote huo?
Kwani ushahidi hakuna?
Na kama katiba bado ni ile ile...Then kwanini hakuna hatua stahili za kuhakikisha haki inatendeka?
 
Wakuu vita ni moyo siyo silaha. Waislamu wanaita Jihad! Ingekuwa ni silaha Marekani angekuwa ameshashinda zamani sana kule Iraq na Afghanistan. But there is no hope of winning against determined mind of "insurgents'. So is Israel..it cant afford protracted battle with determined Arabs. Its a sure disaster. Wait and see.

I tell you any other conflict in the middle east on top of what we have already in Iraq and Palestine is just a sure disaster for the world.

I have always said, the world now is entering another rivalry era especially with the imminent changing of balance of power in favour of developing countries like China and India. Europe without America is just as good as dead!

Poor Africa. we are surely going to suffer economically. I would infact advise Africans to pull together and see how they can start tapping and using oil drilled on the continent instead of relying on the ME.
 
Muisraeli amekuwa akifanikiwa kuwapiga waarabu mara zote tena kwa muda mfupi sana!

Lakini hivi karibuni..Hizbolah huko Lebanon wamegeuka kuwa tishio na Israel wanakumbuka hilo na lilipelekea umaarufu wa Olmert kushuka sana kwani majasusi hayo yanayoongozwa na Hassan NASSRALAH....

Wamejikita kwenye mahandaki na wao ni kama PROXY YA IRAN..Na walifanikiwa kuwasimamisha wanajeshi wa Israeli kuivamia Lebanon kwenye vita yao iliyotokea mwaka 2006 kati ya mwezi July kama sikosei na vita ilipigwa hadi kwenye miji maarufu ya Israel...

Hivyo wenye kudhani hiyo vita itakuwa ndogo wanaota!

Halafu tatizo lingine ni kwamba hata hao wanajeshi walioko hapo Iraqi wa USA watageukwa na kila mtu na hapo Mmarekani anaweza kurudiana na Msunni!

Sasa hapo ni VURUGU TUPU!

Sasa unafikiri na AFRIKA HATUTA CHEZA MANYANGA?

Tena mafuta yenyewe kabla hujapewa lazima uchaguwe bwana wa kukupa!

What about our own oil Exploration?

NB:Kwenye pointi ya WARUSI KUCHUKIA KITENDO CHA WAMAREKANI KUMTUMIA BIN LADEN KUIANGUSHA URUSI NAKUBALIANA NA WEWE NA PIA NAKUBALI USA WAWE MAKINI.
ukweli ni kwamba vile vita vya lebanon ilikua hawa jamaa wa hassan kuuwa wanajeshi na kuteka wawili wanadai kuna mateka wao mmoja kule israel ambae alipewa kifungo cha maisha zamani sana..
israel walipiga ili wanajeshi wao wawili warudishwe lakini imeshindikana kabisa na wanajeshi wake wameuliwa wengi sana..kisha mabomu yalienda hadi mji wanauita hayfa mji maarufu..na bado hizballah walikua na uwezo wa kupiga hadi aviv..
israel walisitisha vita baada ha hassna kupiga mkwara wa kuipiga aviv..ndio wakastop..na sasa mwezi huu huyo mateka wa hizibllah watamrudisha..na jamaa waliongeza masharty kibao wamekubali watatolewa na wapalestina pia kwenye mkumbo huo..na watarudisha maiti sijui tuite maiti ama nini maana za toka mwaka 78..hadi sasa hadi sasa..
hii ingekuza miaka miwili nyuma israel wasingekubali kabisa hii ila wanajua balaa lake nini!! ndio maana wamekubali..ujue kwamba hao israel wanaweza kweli kuishambulia iran na ikadhurika lakini je watavumilia ikipigwa Tel aviv hao watu wenyewe wanawaleta pale...sasa ikipigwa aviv ndio watahama kabisa na wakihama ndio mwisho wa israel mimi naamini haya ni maneno tu na hawatopiga
 
Back
Top Bottom