Lebanon ushaambiwa Hizbollah haijatambulika kuwa kikundi cha kigaidi mpaka leo bali inatambulika kama kikundi cha washika silaha.Lebanon, Iraq, Syria, Yemen ana vikundi vyake vya kigaidi anavifadhili.
Jiulize kwanini hapatani na Saudia?
Hizbollah ndio iliyookoa Bint jubeir isikaliwe na Israel unawaitaje magaidi??
-Iraq wanapambania ardhi yao.
-Syria Iran ilisimama kumzuia Assad asitolewe madarakani
-Yemeni houthi KAFUATILIE HISTORIA YAKE KILE KILIKUA CHAMA CHA SIASA TOKA 1990s.
Na alichofanya Iran ni kuwasapoti ili wamtoe madarakani Mansour asiyependwa na raia wa Yemen.
Na hapo ndio Saudia na Iran wakawa hawapatani .
Saudi arabia alikua na geopolitical reasons za kutokupatana na Iran pia sababu nyingine ilikua ni USHIA NA USUNNI.
ILA SASA HIVI IRAN NA SAUDIA WANAPATANA NA WAMEFUNGUA BALOZI ZAO LABDA KAMA HAUJUI.