Iran prepares to open new front in Western Africa

Iran prepares to open new front in Western Africa

Iran inajulikana ni mfadhili wa ugaidi duniani. Waafrika tuchukue tahadhari
inajulikana kwa watu wasio kua na akili ya kumbambanua mfadhili wa ugaidi marekani Iran maadui zake anaopambana nao kila cku daesh , alqaida ambao ndio wanajulikana duniani kote vikundi vya kigaidi lakin kule Syria ndio vinafadhiliwa na marekani je unaweza kutuambia IRAN inafadhil kikundi gani cha kigaidi?
 
inajulikana kwa watu wasio kua na akili ya kumbambanua mfadhili wa ugaidi marekani Iran maadui zake anaopambana nao kila cku daesh , alqaida ambao ndio wanajulikana duniani kote vikundi vya kigaidi lakin kule Syria ndio vinafadhiliwa na marekani je unaweza kutuambia IRAN inafadhil kikundi gani cha kigaidi?
Hamas, Hezbollah, Islamic jihad, Alnusra front nk
 
Hamna kitu hapo hao wanatafuta namna ya kujineemesha tu kwa kisingizio cha ushirikiano na Afrika na wala wasifikiri wanaweza kuja kusilimisha watu hapa kwa upanga kama zama hizo.
Kwani hao wengine wanatafuta nini ?
 
Hamas, Hezbollah, Islamic jihad sponsor wao ni Iran.
Hamas na Hezbollah si vikundi vya Kigaidi na wala hutasikia popote wanatoka nje ya Maeneo yao, wanapigania maslahi yao kwenye maeneo yao.

Bila Hezbollah leo Isis na wenzao MOSSAD wangeshamaliza Wakristo na Minorities wote hapo Lebanon.

Definition ya ugaidi siku hizi inatumika vibaya sana.
 
Cha ajabu huko Sahel vinapigwa vikundi vya Kigaidi anaelia ni mfaransa na sio Iran.
Hawa sheikh sijui tuwaambie nini ili watuelewe! wameshakaririshwa na wamagharibi waislamu ndio magaidi

Ndio maana huku Afrika tupo nyuma sana sio kimaendeleo tu hata kifikra pia wengi wao wako nyuma sana
 
Acha ushabiki mleta mada, Iran wanakulipa kwani? Katika taarifa zote kipi kimekusukuma kukaa na kuandika hiyo.
 
Wana akili kubwa na ni vizuri kupata marafiki tofauti.

Wazungu kwa sasa basi kwani nchi nyingi zinafanya mambo makubwa na mzungu hana nguvu zile za kuzuia kila kitu.

Sisi akili yetu ni kuwaza udini tu.

Hakuna wabaguzi kama watu weusi halafu masikini wa kutupa
urafik huo kwioo
 
Iran’s aims to unify the African Nations into forming an economic powerhouse, finally connecting Africa to Asia
Huyo anaye engineer hilo wanaweza kummaliza
 
Hamna kitu hapo hao wanatafuta namna ya kujineemesha tu kwa kisingizio cha ushirikiano na Afrika na wala wasifikiri wanaweza kuja kusilimisha watu hapa kwa upanga kama zama hizo.
Wivu wa mke mdogo huu [emoji1787][emoji1787]
 
Hamas na Hezbollah si vikundi vya Kigaidi na wala hutasikia popote wanatoka nje ya Maeneo yao, wanapigania maslahi yao kwenye maeneo yao.

Bila Hezbollah leo Isis na wenzao MOSSAD wangeshamaliza Wakristo na Minorities wote hapo Lebanon.

Definition ya ugaidi siku hizi inatumika vibaya sana.

Hamas na Hezbollah si vikundi vya Kigaidi na wala hutasikia popote wanatoka nje ya Maeneo yao, wanapigania maslahi yao kwenye maeneo yao.

Bila Hezbollah leo Isis na wenzao MOSSAD wangeshamaliza Wakristo na Minorities wote hapo Lebanon.

Definition ya ugaidi siku hizi inatumika vibaya sana.
hamas, Hezbollah wanatofauti gani na bokoharam, isis nk?
 
inajulikana kwa watu wasio kua na akili ya kumbambanua mfadhili wa ugaidi marekani Iran maadui zake anaopambana nao kila cku daesh , alqaida ambao ndio wanajulikana duniani kote vikundi vya kigaidi lakin kule Syria ndio vinafadhiliwa na marekani je unaweza kutuambia IRAN inafadhil kikundi gani cha kigaidi?
Atakutajia hamas,houthi na hizbollah.
 
Nimetoa tahadhari tu kwamba huyo mpersia sio mtu wa kumuamini. Sehemu yoyote anapotia mguu lazima atafadhili vikundi vya magaidi
TAnzania persians wapo na wanamiliki makampuni je umewahi sikia ugaidi??
Hiyo Africab ya persians mbona mmejazana na kuajiriwa pasi na shida?
 
hamas, Hezbollah wanatofauti gani na bokoharam, isis nk?
Hamas ni political organisation iloamua kushika silaha dhidi ya udhalimu wa Israel.
Hizbollah inalinda maslahi ya Lebanon na mpaka sasa UN yenyewe haijawahi itambua Hizbollah kama terrorist organisation,wewe ni nani mpaka uitambue kama terrorist organisation?
Hamas aliyelazimisha ijulikane kama terrorist organisation ni UK na USA mataifa yakampinga mengi tu.
Au wewe una akili kuliko hao??
Bokoharam ni kikundi kisichojua kinapambania nini kazi yake ni utekaji na unyang'anyi.
Unawafananishaje na hizbo na hamas??
 
TAnzania persians wapo na wanamiliki makampuni je umewahi sikia ugaidi??
Hiyo Africab ya persians mbona mmejazana na kuajiriwa pasi na shida?
Lebanon, Iraq, Syria, Yemen ana vikundi vyake vya kigaidi anavifadhili.
Jiulize kwanini hapatani na Saudia?
 
Hamas ni political organisation iloamua kushika silaha dhidi ya udhalimu wa Israel.
Hizbollah inalinda maslahi ya Lebanon na mpaka sasa UN yenyewe haijawahi itambua Hizbollah kama terrorist organisation,wewe ni nani mpaka uitambue kama terrorist organisation?
Hamas aliyelazimisha ijulikane kama terrorist organisation ni UK na USA mataifa yakampinga mengi tu.
Au wewe una akili kuliko hao??
Bokoharam ni kikundi kisichojua kinapambania nini kazi yake ni utekaji na unyang'anyi.
Unawafananishaje na hizbo na hamas??
Hamas ni political Organizations yenye mlengo wa kigaidi. Imejidhihirisha Oct 7 ilipofanya mauaji ya kikatili dhidi ya raia. Hezbollah inalinda maslahi gani Lebanon zaidi ya kuendesha harakati zake za kigaidi dhidi ya Israeli huku ikitumiwa na Iran?
 
Back
Top Bottom