BADO MMOJA
JF-Expert Member
- Jul 19, 2012
- 2,196
- 1,338
UNATAKIWA KUFAHAMU KWAMBA HATA MKEO USIMWAMINI NA IKITOKEA UMEGUNDUA UOVU WAKE BADO UTAKAA NAYE ETI KISA MMEFUNGA NDOA ? IRANI KUKATAA CHANJO YA USA SIYO HABARI YA KUKUFANYA UONE NI NCHI YA AJBU NI JAMBO LA KAWAIDA HATA NDUGUYO UKIGUNDUA NI MCHAWI UTAENDELEZA UHUSIANO NA YEYE TUMIA AKILI.Iran iliaandaa tuzo na zipo kwa mda mrefu wakampa ugur sahin mwaka 2019, ugur sahin kampuni yake na ubia wa Pfizer kampuni ya marekani wakawa wakwanza kuja na Kinga ya covid-19
Ayatollah anadai nchi yake haitatumia chanjo za nchi za magharibi, kumbuka ugur sahin kampuni yake imesajiliwa ujerumani kwa maana hiyo ni kampuni ya nchi za magharibi
Swali la kujuiliza kulikua na haja gani ya kumpa tuzo ugur sahin huku bidhaa yake hamtaki kuitumia, haya ndo maajabu ya irani