Iran ni nchi ya ajabu sana

Iran inadai kutoziamini chanjo zinazozalishwa katika mataifa ya Marekani na Ulaya Magharibi.

Well, kila mmoja yuko huru kuamini kile anachotaka kuamini.

Lakini, kutokuwa na imani juu ya kitu fulani isiwe sababu ya kueneza shutuma zisizo na ushahidi wowote kuhusu kitu hicho tena hasa kwa kutumia global media platforms.
Shutuma zipi, unampa tuzo mtu kuwa mwanascience Bora wa mwaka 2019, na utaki kutumia uvumbuzi wake kulikua na haja gani ya kumpa tuzo
 
Shutuma zipi, unampa tuzo mtu kuwa mwanascience Bora wa mwaka 2019, na utaki kutumia uvumbuzi wake kulikua na haja gani ya kumpa tuzo
Utawala wa Iran unazipinga hizo chanjo kwa madai kuwa "haziaminiki na zinaweza kutumika kuyadhuru mataifa mengine".

Nami nasema, kama Iran haiziamini hizo chanjo isiwe sababu ya wao kutoa madai ama shutuma juu ya chanjo hizo.

Si lazima sana kuagiza chanjo kutoka nchi nyingine na hakuna sababu na wala si busara kushutumu chanjo za nchi nyingine, isitoshe mbele ya vyombo vya habari vya kimataifa ambapo karibu kila taifa linafuatilia.

Hili halina tofauti na upotoshaji (misinformation) na unaweza kusababisha umma kuzikataa chanjo hata kama zinazalishwa ndani ya nchi zao wenyewe.
 
Utawala wa Iran unazipinga hizo chanjo kwa madai kuwa "haziaminiki na zinaweza kutumika kuyadhuru mataifa mengine"....
Narudia Tena utampaje tuzo mtu anayetoka nchi usizo ziamin na Kuna uwezekano humjui hata uguru sahin ndo changamoto inapoanzia hapo
 
Mkuu ulivyo viorodhesha sio chanjo! Kama ulikuwa hujuwi juwa leo chakula ni sumu soda ni sumu! Chanjo ni uchawi sijuwi umenielewa chanjo ndio unaweza kuwa uchawi wa laboratory!....
kwani Iran haitumii hata dawa moja ya magharibi?panadol?ARV?

kama wanatumia sasa wamagharibi walishindwa nini kuzitumia hizo kuwaangamiza?

Au Corona ni special case?
 
kwani Iran haitumii hata dawa moja ya magharibi?panadol?ARV?
kama wanatumia sasa wamagharibi walishindwa nini kuzitumia hizo kuwaangamiza?.
Au Corona ni special case?
Hizo ndo conspiracy theories wazungu wangeamua kuua watu wengine wangeshafanya siku nyingi sana

Mfano carribean na Americans waafrika wengi waliachwa mpaka leo tunawaona Ila uarabuni wengi waliuliwa na kuhasiwa

Wazungu wanamapungufu yao lakin sio Kama hao watu wengine Kama waarabu, imagine nchi Kama Iran au Saudi Arabia ingekua super power Kama u.s hao watu wengine sio waislamu wangejua wameshafutika kwenye uso wa dunia
 
Swali langu Kama walikua wanajua hilo kwanin walimpa tuzo mwanascience mwislamu ugur sahin ambaye anaishi ujerumani
Yeye ni Mjerumani. Familia yake ilihamia kutoka Uturuki, huyu tangu siku ya kwanza ya shule alisoma Ujerumani, ameendelea kuwa profesa wa biolojia na tiba pale. Hana uraia mwingine ila Ujerumani.
 
Narudia Tena utampaje tuzo mtu anayetoka nchi usizo ziamin na Kuna uwezekano humjui hata uguru sahin ndo changamoto inapoanzia hapo
Umeuliza kuhusu shutuma; nimejibu kuhusu shutuma.

Kuhusu tuzo, kuna mambo mawili.

Kumpatia tuzo mtu usiyemuamini ama usiyekubaliana na anachokifanya haina tofauti na unafiki ama udanganyifu (deception). Unaonesha kuukubali mchango wa taasisi ama mtu fulani mbele ya macho ya wengi lakini kiuhalisia hufanyi hivyo bali unafanya kwa kusudi jingine tofauti.

Tendo zima la utoaji tuzo linaweza kuwa limefanyika ili kuupumbaza umma kwa malengo fulani mengine yasiyotambulika kwa wepesi ama yaliyofichika machoni pa umma unaoshuhudia.

Jambo jingine! Taasisi ama mtu fulani anaweza kupewa tuzo kwa kusudi la kuutambua mchango wake ama kumpongeza kwa jambo fulani. Lakini, baada ya muda ama kipindi fulani, mpokea tuzo kutokana na sababu mbalimbali, ziwe za msingi ama kinyume chake, akapoteza sifa ya kuaminiwa ama kuendelea kuaminiwa na kukubalika machoni pa aliyetoa tuzo katika masuala yaleyale yaliyomfanya akapewa tuzo pale awali.

Nafikiri nimeeleweka vyema!
 
Wamegundua wamarekani watawachanganyia sumu,,wanatengeza chanjo yao wenyewe ama wataagiza Russia,,nchi zenye utu,,
Mabeberu sio wa kuamini sana
Ni kiburi tu cha watawala wa Tehran (hasa wahafidhina).

Hao wahafidhina hawajafahamu bado adha wanayopata raia wao kwa kuendekeza siasa za kibabe za kupambana na madola makubwa.
 
Back
Top Bottom