Iran ni nchi ya ajabu sana

Iran ni nchi ya ajabu sana

Artifact Collector

JF-Expert Member
Joined
Mar 7, 2019
Posts
6,622
Reaction score
10,247
Iran iliaandaa tuzo na zipo kwa muda mrefu wakampa Ugur Sahin mwaka 2019. Ugur Sahin kampuni yake na ubia wa Pfizer kampuni ya Marekani wakawa wakwanza kuja na Kinga ya covid-19.

Ayatollah anadai nchi yake haitatumia chanjo za nchi za magharibi, kumbuka Ugur Sahin kampuni yake imesajiliwa ujerumani kwa maana hiyo ni kampuni ya nchi za magharibi.

Swali la kujuiliza kulikua na haja gani ya kumpa tuzo Ugur Sahin huku bidhaa yake hamtaki kuitumia, haya ndo maajabu ya Irani
 
Iran iliaandaa tuzo na zipo kwa mda mrefu wakampa ugur sahin mwaka 2019, ugur sahin kampuni yake na ubia wa Pfizer kampuni ya marekani wakawa wakwanza kuja na Kinga ya covid-19

Ayatollah anadai nchi yake haitatumia chanjo za nchi za magharibi, kumbuka ugur sahin kampuni yake imesajiliwa ujerumani kwa maana hiyo ni kampuni ya nchi za magharibi

Swali la kujuiliza kulikua na haja gani ya kumpa tuzo ugur sahin huku bidhaa yake hamtaki kuitumia, haya ndo maajabu ya irani
Mkuu Wairan wanajua zaidi ya ww, linapokuja suala la kitaifa ata kama ni nchi yako basi umakini unahitajika zaidi, Unajua kuwa Iran ina maadui especially ulaya na marekani, dunia ya sasa umakini unahitajika sana, kama kweli Marekani anawapenda na kuwatakia wema Iran basi angeondosha vikwazo kwanza thn akawapatia hizo dawa, sio mbaya kukataa hiyo midawa coz u never know what whats going to happen
 
Mkuu Wairan wanajua zaidi ya ww, linapokuja suala la kitaifa ata kama ni nchi yako basi umakini unahitajika zaidi, Unajua kuwa Iran ina maadui especially ulaya na marekani, dunia ya sasa umakini unahitajika sana, kama kweli Marekani anawapenda na kuwatakia wema Iran basi angeondosha vikwazo kwanza thn akawapatia hizo dawa, sio mbaya kukataa hiyo midawa coz u never know what whats going to happen
Ugur sahin anahusika vip na vikwazo, na mwaka 2019 walivyompa tuzo walikua hawajewekewa vikwazo
 
Wamegundua wamarekani watawachanganyia sumu,,wanatengeza chanjo yao wenyewe ama wataagiza Russia,,nchi zenye utu,,
Mabeberu sio wa kuamini sana
wataagiza ile ya putin
Wamegundua wamarekani watawachanganyia sumu,,wanatengeza chanjo yao wenyewe ama wataagiza Russia,,nchi zenye utu,,
Mabeberu sio wa kuamini sana
 
lkn wanananunua dawa za mamilion ya euro kwa mwaka toka kwa mabeberu
 
Ugur sahin anahusika vip na vikwazo, na mwaka 2019 walivyompa tuzo walikua hawajewekewa vikwazo
Kama walishawahi kupelekewa magonjwa ya ukimwi na Ufaransa ni wajibu kukataa hizo chanjo, wenzetu wanaakili nyingi sana sio wajinga

“Importing vaccines made in the US or the UK is prohibited. They’re completely untrustworthy. It’s not unlikely they would want to contaminate other nations “Given our experience with France’s HIV-tainted blood supplies, French vaccines aren’t trustworthy either.”
 
Utavaaje kata.K, Huku unajua mtaa mzima ni mabasha tupu??
Huyo kunguru anaruka bawa moja jingine kafunika @m%#$
 
Kama walishawahi kupelekewa magonjwa ya ukimwi na Ufaransa ni wajibu kukataa hizo chanjo, wenzetu wanaakili nyingi sana sio wajinga

“Importing vaccines made in the US or the UK is prohibited. They’re completely untrustworthy. It’s not unlikely they would want to contaminate other nations “Given our experience with France’s HIV-tainted blood supplies, French vaccines aren’t trustworthy either.”
Swali langu Kama walikua wanajua hilo kwanin walimpa tuzo mwanascience mwislamu ugur sahin ambaye anaishi ujerumani
 
Iran iliaandaa tuzo na zipo kwa mda mrefu wakampa ugur sahin mwaka 2019, ugur sahin kampuni yake na ubia wa Pfizer kampuni ya marekani wakawa wakwanza kuja na Kinga ya covid-19...
Labda walimpakwa vigezo vingine. Mbona kuna jamaa hapa Makonda alimweka ndani kwenye harakati zake za dawa za kulevya halafu siku wanazindua mradi wabomba la mafuta Magufuri akamsifia kwa kampuni yake kufanya kazi vizuri. Kwa hiyo unaweza kupondwa kwa hili ukasifiwa kwa lile.
 
Swali langu Kama walikua wanajua hilo kwanin walimpa tuzo mwanascience mwislamu ugur sahin ambaye anaishi ujerumani
Walimpa tuzo ya kuwa mwanasayansi lakini hilo halina uhusiano na ukubali chanjo ya kampuni anayofanyia kazi. Ni sawa kuna watu wanamkubali steve jobs lakini hawazikubali simu za iPhone
 
Walimpa tuzo ya kuwa mwanasayansi lakini hilo halina uhusiano na ukubali chanjo ya kampuni anayofanyia kazi. Ni sawa kuna watu wanamkubali steve jobs lakini hawazikubali simu za iPhone
Sababu ya kumpa tuzo ni kutoka na harakati zake kutafuta tiba ya kansa kupitia messenger RNA, na ambayo imetumika kutengeneza chanjo ya covid-19

Uguru sahin harakati ni hizi hizi za biotechnology na sio kitu kingine
 
Iran inadai kutoziamini chanjo zinazozalishwa katika mataifa ya Marekani na Ulaya Magharibi.

Well, kila mmoja yuko huru kuamini kile anachotaka kuamini.

Lakini, kutokuwa na imani juu ya kitu fulani isiwe sababu ya kueneza shutuma zisizo na ushahidi wowote kuhusu kitu hicho tena hasa kwa kutumia global media platforms.
 
Irani hiii inayotumia IOS, Android, Symbian, iPhone, Twitter, Facebook, Coca-Cola
Mkuu ulivyo viorodhesha sio chanjo! Kama ulikuwa hujuwi juwa leo chakula ni sumu soda ni sumu! Chanjo ni uchawi sijuwi umenielewa chanjo ndio unaweza kuwa uchawi wa laboratory!

Sio kila mtu anatumia simu ama Facebook kama mimi sijawahi tumia ata iPhone!!

Ata soda kuna watu hawa tumie kabisa!

Ila chanjo mtachomwa wote ogoba kitu kinaitwa chanjo me sichomi ata kwa kufungwa na certificate ya kuonyesha nimechomwa nitaipata ikilazimu!
 
Back
Top Bottom