Iran Kwanini Hapigi Israel

Unamaliza mbao tu mkuu na maelezo mareefu! umesahahu Ayatollah kafa na wamezika na wao kwa nn wasimuue Trump au Netanyau badala ya kubweka tu
 
Endeleeni kujifariji tu Iran anapigika Kama kawaida!!
Vibaraka wake wanalia huko Baharain, Kuwait na Jordan kichapo alicho watembezea jana afu USA anakuambia askari wawili tu wamekufa hahaha
 
Mara ngapi iran kapiga israel, tstizo gharam ya kuishambulia israel ni kubw sababu ni mbali n makombora mengine ynatunguliwa na nchi ynmopitbzo ni allies za marekani. Kutoka israel kuja irani ni almost 1800 km. Kushambulia umbali huo inahitaji akili kibwa. Israel yy ana nafuu sababu anatuma ndege kwenda kushambulia ambavyo ni gharama nafuu. Na ndege zinajaza mafuta kabla ya kugeuza israel. So hivi vi nchi iran ndo anavishughulikia kwanza.
Subiri wakatwe migui uone kitakachomkuta nyau
 
1.Kwa nini Venezuela Ina WAKRISTO 87% na mafuta yake yapo chini ya U.S.A?

2.kwa nini Iran in WAISLAM 90% na gesi zake na mafuta zipo chini ya JAMHURI YA KIISLAM YA IRAN?

3.Kwa nini nchi masikini zaidi duniani zipo kusini mwa jangwa ala sahala na 80% ya population yake ni wakristo?

4. Kwa nini Zanzibar Ina WAISLAM 99% na rasilimali zake za mafuta na gesi,si Mali ya muungano na rais mzanzibar yupo hapa anatawala na anauza migodi na rasilimali za bara kama mbuga za wanyama kwa bei ya kutupa?,huku per capital ya Zanzibar ikiwa ni $2500 huku ya Tanganyika ikiwa ni $1200

5.Kwa nini ISLAMIC REPUBLIC OF IRAN na ISLAMIC REPUBLIC OF AFGHANISTAN wanamiliki rasilimali zao,100%?
 
Maswali ya kijinga na kipumbavu kabisa!!
 
Maswali ya kijinga na kipumbavu kabisa!!
nijibu haya maswali mkuu niwe mwelevu kama weweπŸ™πŸ™πŸ™πŸ™

1.Kwa nini nchi masikini zaidi duniani zipo kusini mwa jangwa la sahara na 80% ya population yake ni wakristo?

2.Kwa nini Zanzibar Ina WAISLAM 99% na rasilimali zake za mafuta na gesi,sio Mali ya muungano,wakati Mali za bara hata wazanzibar wanafaidika nazo,na rais mzanzibar yupo hapa anatawala na anauza migodi na rasilimali za bara kama mbuga ya kwa bei ya kutupa?

3.kwa nini per capital ya Zanzibar yenye WAISLAM 99% ni $2500 huku ya Tanganyika ikiwa ni $1200?

4.kwa nini ISLAMIC REPUBLIC OF IRAN na ISLAMIC REPUBLIC OF AFGHANISTAN wanamiliki rasilimali zao,100%?
 
Wajinga tu na wapumbavu wenzako ndiyo watajibu UHARO wako huu!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…