Iran Kisha Fanya Majaribio ya Nuclear

Iran Kisha Fanya Majaribio ya Nuclear

Waislamu wengi ni majuha sana.
Ila hawa wakristo wazungu mbona wapo kinyume cha wakiristo waagfrica hawashangilii waislaam kuuliwa kwanini??? hata inapokuja kuwahurumia wanawahurumia waarabu japo ni waislaam kuliko sisi waafrika wakristo wenzeo da inauma sana.
 
Dogo tulizana Aliye kuwa kakataza Iran wasiwe na Nuclear USA na Israel walimua sasa Iran official Trump kakiri ana Nuclear. Iran ni Official Nuclear Power(Nchi ya 10 kuwa na Nuclear Duniani)


View: https://youtu.be/XJ1Dh23NOfA?si=Qviu8i6s2l9qMfSr


Afu we mvaa msalaba Israel aliwasaidia lini Tanzani huyo Muiran unaye mchukuia ndio anawapa Tanzania mikopo bila Riba(Faida)

Wewe unajua unachoongea lakini.!!! Mikopo gani Iran imeipa Tanzania bila riba au magaidi wa Hamas, Hezbollah na Houthi ndio unachanganya na Tanzania.
 
Ushuhuda kutoka kwa mtu wa Mungu aliye onyeshwa MAONI YA UFUNUO na Yesu...kwamba IRANI ina silaha hatari zaidi duniani zenye uweze mkubwa zaidi wa kuharibu sehemu kubwa zaidi ya duniani kuliko nchi yeyote duniani...

Na kwamba Yesu hataruhusu zitumike kabla hajawaondoa watu wake (watakatifu ama kanisa)..katika UNYAKUO WA WATAKATIFU...mana hizo silaha ambazo zimefichwa kwa siri IRANI ni silaha hatari kabisa duniani..YESU alimuonyesha mpaka zilipofichwa akamuelezea na uwezo wake wa kufanya madhara makubwa duniani...

TAKE HOME MESSAGE

UNYAKUO WA WATAKATIFU UMEKARIBIA sana...tengeneza mambo ya nyumba yako..hizi ni dakika za mwishoni....
 
Nyie kweli mna wasikiliza USA na Israel na propoganda zao hahaha sa kwa tarifa yenu target zote walizo kuwa wanapiga Israel na USA wakifikiria silaha kumbe ni mchoro special wamekuja kugundua bada ya kuzifatilia video za hizo target hakuna kinacho ruka kwenye hizo target zaidi ya kunguza silaha zao bure tena zenye thamani kubwa sana hapo ndio mjue vita ni akili.


View: https://youtu.be/98Qvse3wXrA?si=d20-NUfI7-en6Jbl

sasa mbona iran harushi ndege hata moja ndege zake zimeenda wapi kama zipo au zimeenda kulipia vikoba?
 
Back
Top Bottom