Iran kimenuka huko

Huyo ndiyo mchinjaji wetu.Huwa anamkanyaga kitibaridi kwa madaha Sana kabla ya kumuelekeza kibla.Amejaaliwa.
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ Vijana wa hamas ni walaji wa kuiba iba.

Elimu hawana, wana elimu dunia ya mtume miaka sijui mian ngap hukoπŸ˜‚πŸ˜‚

Si umeona mambo yao hivi karibun
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ Vijana wa hamas ni walaji wa kuiba iba.

Elimu hawana, wana elimu dunia ya mtume miaka sijui mian ngap hukoπŸ˜‚πŸ˜‚

Si umeona mambo yao hivi karibun
Alivyo mjinga,hivi ulivyoandika atajichukiza kama zuzu.😁😁😁😁😁
 
BADO SISI WATANGANYIKA.TAREHE 12/1/2026 LAZIMA TUKIAMSHE TENA NA AWAMU HII TUNA MOTO WA KUOTEA MBALI WAPIGANIA HAKI.
Bado unaota? Au bado ile trauma haijakuisha 🀣🀣
 
Shah angeendelea kuwepo, leo wangekuwa zaidi ya Dubai, ilimu ahera na hizi dini ni zaidi ya majanga ya kujitakia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…