Iran inder INTENSE cyber-attack. ALL critical infrastructure affected

Hv unaweza kutengeneza kinu cha nuclear kisijulikane?vinu vinajulikana vilipo Hila ukivishambulia direct missiles from tel Aviv hayo Majibu mtakayopewa mara elf 1 ya shambulio la October 1
vinu vyao wanasema wameviweka underground kuogopa kushambuliwa. hata misiles nyingi sana iran zipo kwenye mahandaki. nikama unaona kuna mji hapa juu ila chini ya ardhi wameweka mji wao. kama haujui, hata idea za underground tunnels za gaza na lebanon muasisi ni Iran.
 
Na ww umejiona umeandika kitu cha maana sana ..kwa hiyo wakiahajua sehem nyeti za makombora ndo nin wew unafikiri hawafaham sehem hizo mhim .kupajua ni jambo moja na kuzifikia na kuweza kuziharabu ni jambo la pili
 
Uzuri Iran hana ahadi feki akikuahidi anatekeleza bila kuchelewa.

Hawa Mazayuni midomo mirefu lakini vitendo sifuri. Wametwangwa mara mbili bila majibu hadi leo wamebaki na propaganda za cyber attack kuwadanganya manyumbu waliyozoea kuyadanganya.
Maagizo ya Quran'...na hakika kila ahadi itaulizwa(ikiwa ilitekelezwa)'
 
Na ww umejiona umeandika kitu cha maana sana ..kwa hiyo wakiahajua sehem nyeti za makombora ndo nin wew unafikiri hawafaham sehem hizo mhim .kupajua ni jambo moja na kuzifikia na kuweza kuziharabu ni jambo la pili
🤮🤮🤮🤮🤮🤮🤮🤮🤮🤮🤮
 
Na ww umejiona umeandika kitu cha maana sana ..kwa hiyo wakiahajua sehem nyeti za makombora ndo nin wew unafikiri hawafaham sehem hizo mhim .kupajua ni jambo moja na kuzifikia na kuweza kuziharabu ni jambo la pili
Nyie ndo wale wale niliokua nawatolea mfano hebu kaongelee mambo ya Simba na Yanga ndio unachokiweza hiko
 
Acha kupanic kwa vitu vidogo hivyo jibu ulichoulizwa kama huna kaa kwa kutulia
Unadandia dandia tu kujibu watu bila adabu na wewe uonekane upo humu we kama haikukufaa ungetuliza mafuta hayo wewe kama ni mwanaume jitafakari sana sana sio dalili nzuri hii
 
yap, wanachofanya wanaingia, wakitoka washajua hadi location ya vinu vyako, locations za bunker ulipojificha wewe ayatola na kila kitu. kitakachofuata ni kukupiga ganzi ili wanaporuka hewani ushindwe kuwadungua kirahisi.
Mpaka hapo myahudi kaishapararaiz nyuklia za Iran, wameishajam kila kitu.
Tena wataalam wanavoangaika kuweka sawa mifumo ukute sasa wanadownload vilipuzi tu.

Yajayo ni makubwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…