Hakuna upumbavu kama kuamini umesoma halafu huna elimu, kutaja waarabu ni lugha ya picha ambayo wengi wanaelewa kwa urahisiIran sio Waarabu, rudi shule!
Hakuna upumbavu kama kuamini umesoma halafu huna elimu, kutaja waarabu ni lugha ya picha ambayo wengi wanaelewa kwa urahisiIran sio Waarabu, rudi shule!
Kukimbilia UN kuomba cease fire cease fire cease fireKati ya kosa la karne watakuja fanya basi ni hilo, kitakachofuata mpaka naogopa
Yeye huwa wa kwanza kulianzisha na wakwanza kuzama shimoni.. Kutoka huwa wa mwisho kabisa baada ya vita kuisha.Netanyahu alivyokua kunguru sahivi kashazama kwenye handaki kama kasongo yeyee
Acha upumbavu wewe, Iran sio Waarabu!Hakuna upumbavu kama kuamini umesoma halafu huna elimu, kutaja waarabu ni lugha ya picha ambayo wengi wanaelewa kwa urahisi
Lugha ya mwarabu ni lugha ya piIran ni muajemi sio muarabu.
Pia ushahidi wa rais wao kuuliwa haukuthibitika usijiropokee
Iran ni muajemi sio muarabu.
Pia ushahidi wa rais wao kuuliwa haukuthibitika usijiropokee hapa.
Kwa Kutumia neno waarabu nilimaanisha lugha ya picha mbayo wengi wanaelewa kwa urahisi, pili kuhusu kuthibithika nenda kajifunze kuhusu dhana ya ushahidi wa mazingira au Circumstancial evedence
Stress zinakusumbua, na pengine malezi, nilijaribu kujibu kiustaarabu ili kuona ninayemjibu ana upeo au haina gani, baki na unachoaminiAcha upumbavu wewe, Iran sio Waarabu!
Lugha ya picha kuita bluu nyeusi!?
Israel anaiyogopa sana iyo nembo,
Hayo yote unayoongelea hayakuwepo na unaowadai wamehusika walikana kuhusika.Lugha ya mwarabu ni lugha ya pi
aaah mbna israel anazitunguagaGod Bless Iran
Mbabe wa Missiles kasema
Mwanzoni mlisema hivyo zikaenda kombora 500 kikowapi muajemi atishiwi nyauKati ya kosa la karne watakuja fanya basi ni hilo, kitakachofuata mpaka naogopa
Persians wanajiandaa kuigeuza Israel kifusi.
Mzayuni anasubiriwa ajichanganye tu.
#TUTAKUWEPO
BREAKING:
🇮🇱🇮🇷 Iran is preparing to flatten Israel with thousands of ballistic missiles - New York Times reports
Iranian military and government officials have already met to discuss their response to a potential strike by Israel.
The plans are involving an immediate counterstrike on Israel utilizing thousands of long-range ballistic missiles.
View: https://x.com/Megatron_ron/status/1933026546584842422
Tuna imani nae,hajawahi kutuangusha.God Bless Iran
Mbabe wa Missiles kasema
Nchi za Kiarabu na Lugha zao ni kiarabuLugha ya mwarabu ni lugha ya pi
Maneno ya general Salam
The enemy couldn't handle Yemen. What makes it think it can defeat Iran? — Top IRGC General Salami
'They could not withstand the passionate youth of Yemen — and they were crushed'
View: https://t.me/rtnews/98804
Israel hajawahi kushinda vita yoyote ile na Hezbollah, vivyo hivyo Hezbollah haijawahi kushinda vita yake na Israel bali huwa wanaishia kusitisha mapigano tu na pande zote mbili kupata hasara.😂 😂 😂 Mbona hawataji Hezbolla wala Hamas?