Iran imerudi enzi za Ujima: Hawana Air-Force hawana Navy na hawana Mifumo ya ulinzi wa anga

Iran imerudi enzi za Ujima: Hawana Air-Force hawana Navy na hawana Mifumo ya ulinzi wa anga

Echolima1

JF-Expert Member
Joined
Nov 2, 2019
Posts
6,926
Reaction score
6,028
🇺🇸 Rais Donald Trump kuhusu Iran:

"Naam, tutakuwa katika hali nzuri sana. Unaona kinachoendelea?

Wako karibu mwisho wa mstari. Haimaanishi kwamba tutamaliza mara moja, lakini wako.

Hawana Jeshi la Wanamaji. Hawana Jeshi la Anga. Hawana trafiki ya kupambana na anga, chochote kile. Hawana mifumo ya udhibiti.

Tunaendesha masafa ya bure tu juu ya nchi hiyo.

Na sasa tutaangalia kwa makini sana milango ya bahari wa Hormuz

Mifumo ya bahari iko katika hali nzuri. Tumeangusha boti zao zote. Wana makombora, lakini sio mengi sana. Nadhani tuko katika hali nzuri sana."

View: https://x.com/kyg_best/status/2031899737859756209?s=61
 
Screenshot_20260309-080714.jpg

Tukubali ukweli tu hii vita marekani kachemsha yaani kapigwa sana aise leo siku ya tatu mashambulizi ya marekani ndani ya iran yamepungua sana inasemekana rada za kuongoza ndege nyingi zimepigwa mifumo ya ulinzi imechakazwa mbaya mpaka marekani kaenda kubeba mifumo ya ulinzi ya korea kusini


Huku iran ikisema hii vita wao ndio wa kuimaliza.

Nimebaki najiuliza tu hivi marekani anaweza simama na mchina hata siku tatu kweli!!?
 
🇺🇸 Rais Donald Trump kuhusu Iran:

"Naam, tutakuwa katika hali nzuri sana. Unaona kinachoendelea?

Wako karibu mwisho wa mstari. Haimaanishi kwamba tutamaliza mara moja, lakini wako.

Hawana Jeshi la Wanamaji. Hawana Jeshi la Anga. Hawana trafiki ya kupambana na anga, chochote kile. Hawana mifumo ya udhibiti.

Tunaendesha masafa ya bure tu juu ya nchi hiyo.

Na sasa tutaangalia kwa makini sana milango ya bahari wa Hormuz

Mifumo ya bahari iko katika hali nzuri. Tumeangusha boti zao zote. Wana makombora, lakini sio mengi sana. Nadhani tuko katika hali nzuri sana."

View: https://x.com/kyg_best/status/2031899737859756209?s=61
 

Attachments

  • 1773266579963.jpg
    1773266579963.jpg
    91.2 KB · Views: 3
  • 1773266485754.jpg
    1773266485754.jpg
    39.6 KB · Views: 3
  • 1773266705287.jpg
    1773266705287.jpg
    51.1 KB · Views: 3
  • VID-20260310-WA0117.mp4
    1 MB
🇺🇸 Rais Donald Trump kuhusu Iran:

"Naam, tutakuwa katika hali nzuri sana. Unaona kinachoendelea?

Wako karibu mwisho wa mstari. Haimaanishi kwamba tutamaliza mara moja, lakini wako.

Hawana Jeshi la Wanamaji. Hawana Jeshi la Anga. Hawana trafiki ya kupambana na anga, chochote kile. Hawana mifumo ya udhibiti.

Tunaendesha masafa ya bure tu juu ya nchi hiyo.

Na sasa tutaangalia kwa makini sana milango ya bahari wa Hormuz

Mifumo ya bahari iko katika hali nzuri. Tumeangusha boti zao zote. Wana makombora, lakini sio mengi sana. Nadhani tuko katika hali nzuri sana."

View: https://x.com/kyg_best/status/2031899737859756209?s=61

Propaganda, mbona meli zinapigwa zikipita Hormuz
 
🇺🇸 Rais Donald Trump kuhusu Iran:

"Naam, tutakuwa katika hali nzuri sana. Unaona kinachoendelea?

Wako karibu mwisho wa mstari. Haimaanishi kwamba tutamaliza mara moja, lakini wako.

Hawana Jeshi la Wanamaji. Hawana Jeshi la Anga. Hawana trafiki ya kupambana na anga, chochote kile. Hawana mifumo ya udhibiti.

Tunaendesha masafa ya bure tu juu ya nchi hiyo.

Na sasa tutaangalia kwa makini sana milango ya bahari wa Hormuz

Mifumo ya bahari iko katika hali nzuri. Tumeangusha boti zao zote. Wana makombora, lakini sio mengi sana. Nadhani tuko katika hali nzuri sana."

View: https://x.com/kyg_best/status/2031899737859756209?s=61

Mbona bado sana? Taliban walikuwa na jeshi la anga au la maji? Au Vietnam? Hii ni vita ambayo hawawezi kushinda.

Amandla...
 
View attachment 3556799
Tukubali ukweli tu hii vita marekani kachemsha yaani kapigwa sana aise leo siku ya tatu mashambulizi ya marekani ndani ya iran yamepungua sana inasemekana rada za kuongoza ndege nyingi zimepigwa mifumo ya ulinzi imechakazwa mbaya mpaka marekani kaenda kubeba mifumo ya ulinzi ya korea kusini


Huku iran ikisema hii vita wao ndio wa kuimaliza.

Nimebaki najiuliza tu hivi marekani anaweza simama na mchina hata siku tatu kweli!!?
Unayasema haya as if wewe ndio Chief Minister of Security Defense wa Marekani kumbe someone with no hope ambae alijibanza sehemu siku ile ya October 29 kutoka Kimara Bonyokwa
 
Hii mijadala ya kisengge kweli vita imekuwa kama ushabiki wa mpira. Uhai wa mwanadamu thamani yake haipimiki.
Mambo yetu ya ndani hapa TZ maji yako shingoni ccm wanatupiga mbele nyuma, bado mnahangaika kushabikia mauaji huko uajemi
Sasa unawashauri nini wanaopenda vita ndugu mwandishi?
 
Na huu ugomvi hauji kuisha kamwe,marekani wamekosea sana kuanzisha ugomvi ambao hauna sababu za maana.israel mpaka Dunia inaisha takua anarushiwa makombora tu.Sawa Leo Iran itamalizwa nguvu lakini watarudi viwandani kutengeneza silaha zingine sababu kinachoteketezwa ni silaha na viwanda sio akili na ujuzi waliokua nayo wairan,so watafua vingine tu na uhasama ndo umeongezeka zaidi
 
Na huu ugomvi hauji kuisha kamwe,marekani wamekosea sana kuanzisha ugomvi ambao hauna sababu za maana.israel mpaka Dunia inaisha takua anarushiwa makombora tu.Sawa Leo Iran itamalizwa nguvu lakini watarudi viwandani kutengeneza silaha zingine sababu kinachoteketezwa ni silaha na viwanda sio akili na ujuzi waliokua nayo wairan,so watafua vingine tu na uhasama ndo umeongezeka zaidi
Iran hapigani peke yake nyuma ana supporters wengi km ingekua Iran anapiga peke yake bila msaada ya nchi zingine hii vita ni asubuhi sana ingekua imeisha ni sawa na Ukraine mbele ya Russia ukimuondoa Marekani na NATO asubuhi sana Ukraine kachakazwa, nyuma ya Iran kuna Russia, Syria, North Korea na China kwa hio usikae tu ukasema Iran kafanya hivi au kafanya vile nyuma ya Iran kuna makundi mengine mengi kutoka Nchi tofauti km vile Pakistan, Iraq, Lebanon hayo makundi yote yanapigana pamoja na Iran, sasa nashangaa watu wanapokaa kusema Iran ndio inapigana Iran haipo peke yake ingekua peke yake vita ingekua ishamalizika kitambo sana
 
Back
Top Bottom