Iran hawana jeshi, wana mgambo, ona orodha ya viongozi wakubwa wa jeshi waliouawa kwa siku chache na marubani wa kike wa Israel

Iran hawana jeshi, wana mgambo, ona orodha ya viongozi wakubwa wa jeshi waliouawa kwa siku chache na marubani wa kike wa Israel

watu kibao

JF-Expert Member
Joined
Mar 25, 2025
Posts
466
Reaction score
1,645
Vita ya siku chache zilizopita Israel walitoa kipaumbele kikubwa kwa marubani wa kike,

Hivi ni vichwa vilivyoliwa na marubani wa kike kwa siku 12 tu.

Jenerali Mohammad Bagheri – Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi ya Iran​

Aliyesimamia vikosi vyote vya kijeshi vya Iran na ulinzi wa kitaifa. (hapa kwetu nafasi yake inafanana na mkuu wa JWTZ)

Meja Jenerali Hossein Salami – Mkuu wa Kikosi cha IRGC​

Kiongozi wa Kikosi kikubwa zaidi kwenye jeshi la Iran cha Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC), aliyeongoza sera za kijeshi dhidi ya Marekani na Israel pamoja na ufadhili wa Houthi, Hamas, Hezbollah, n.k.

Brigedia Jenerali Amir Ali Hajizadeh – Kamanda wa Kikosi cha Anga (Aerospace Forces)​

Kitengo cha mashambulizi kwa njia ya anga - makombora ya masafa marefu na ndege zisizo na rubani (drones).

Brigedia Jenerali Dawood Shekhiyan – Kamanda wa Kikosi cha Ulinzi wa Anga​

Ulinzi wa anga la Iran dhidi ya mashambulizi ya ndege za kivita, kwa kutumia rada na makombora ya kujihami.

Brigedia Jenerali Mohammad Kazemi – Mkuu wa Usalama wa Taifa​

Mtaalamu wa usalama wa nchi, alihusika na intelejensia, ujasusi, upelelezi, n.k.

Jenerali Hassan Mohaqiq – Naibu Mkuu wa Usalama wa Taifa​

Mshirika wa karibu wa Kazemi, alihusika na shughuli za uchunguzi na taarifa za ndani.

Jenerali Gholam Ali Rashid – Mkuu wa kikosi cha Khatam-al Anbiya​

Ni kikosi kinahohusika na kuratibu wa mipango mikuu ya kijeshi na kuunganisha vikosi vya ardhini, angani, na majini.

Brigedia Jenerali Mehdi Rabbani – Naibu Mkuu wa Majeshi​

Alikuwa mshauri na mratibu wa mikakati ya ndani ya ulinzi.=

Luteni Jenerali Ali Shamkhani – Mshauri Mkuu wa Ayatollah katika Vita​

Alihusika katika ushauri wa juu wa kijeshi na sera za Mashariki ya Kati.

Brigedia Jenerali Reza Mozaffarinia Hosein – Mkuu wa Shirika la Uvumbuzi na Utafiti wa Kiulinzi​

Aliongoza maendeleo ya teknolojia za kijeshi, utafiti wa silaha mpya na maendeleo ya mfumo wa ulinzi wa kisasa.
 
Nakuona

FB_IMG_17475678941965106.jpg
 
Hata wewe unaweza kumvia Trump ukamua!
Au umesahau alivyokoswa na risasi?

Shambulizi la kuvizia ni ugaidi!
 

Jenerali Mohammad Bagheri – Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi ya Iran​

Aliyesimamia vikosi vyote vya kijeshi vya Iran na ulinzi wa kitaifa.

Jenerali Ali Shadmani – Mkuu wa Majeshi wa Iran mpya​

Alichukua nafasi ya Bagheri baada ya kuuawa.


Meja Jenerali Hossein Salami – Mkuu wa Kikosi cha IRGC​

Kiongozi wa Kikosi kikubwa zaidi kwenye jeshi la Iran cha Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC), aliyeongoza sera za kijeshi dhidi ya Marekani na Israel pamoja na ufadhili wa Houthi, Hamas, Hezbollah, n.k.


Brigedia Jenerali Amir Ali Hajizadeh – Kamanda wa Kikosi cha Anga (Aerospace Forces)​

Kitengo cha mashambulizi kwa njia ya anga - makombora ya masafa marefu na ndege zisizo na rubani (drones).


Brigedia Jenerali Dawood Shekhiyan – Kamanda wa Kikosi cha Ulinzi wa Anga​

Ulinzi wa anga la Iran dhidi ya mashambulizi ya ndege za kivita, kwa kutumia rada na makombora ya kujihami.


Brigedia Jenerali Mohammad Kazemi – Mkuu wa Usalama wa Taifa​

Mtaalamu wa usalama wa ndani ya kijeshi, alisimamia idara ya kijasusi ya IRGC.


Jenerali Hassan Mohaqiq – Naibu Mkuu wa Usalama wa Taifa​

Mshirika wa karibu wa Kazemi, alihusika na shughuli za uchunguzi na taarifa za ndani.


Jenerali Gholam Ali Rashid – Mkuu wa kikosi cha Khatam-al Anbiya​

Ni kikosi kinahohusika na kuratibu wa mipango mikuu ya kijeshi na kuunganisha vikosi vya ardhini, angani, na majini.


Brigedia Jenerali Mehdi Rabbani – Naibu Mkuu wa Majeshi​

Alikuwa mshauri na mratibu wa mikakati ya ndani ya ulinzi.=


Luteni Jenerali Ali Shamkhani – Mshauri Mkuu wa Ayatollah katika Vita​

Alihusika katika ushauri wa juu wa kijeshi na sera za Mashariki ya Kati.


Brigedia Jenerali Reza Mozaffarinia Hosein – Mkuu wa Shirika la Uvumbuzi na Utafiti wa Kiulinzi​

Aliongoza maendeleo ya teknolojia za kijeshi, utafiti wa silaha mpya na maendeleo ya mfumo wa ulinzi wa kisasa.
Iran simba wa kuchora, nyuki wa mashineni, joka la kibisa,
 

Jenerali Mohammad Bagheri – Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi ya Iran​

Aliyesimamia vikosi vyote vya kijeshi vya Iran na ulinzi wa kitaifa.

Jenerali Ali Shadmani – Mkuu wa Majeshi wa Iran mpya​

Alichukua nafasi ya Bagheri baada ya kuuawa.


Meja Jenerali Hossein Salami – Mkuu wa Kikosi cha IRGC​

Kiongozi wa Kikosi kikubwa zaidi kwenye jeshi la Iran cha Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC), aliyeongoza sera za kijeshi dhidi ya Marekani na Israel pamoja na ufadhili wa Houthi, Hamas, Hezbollah, n.k.


Brigedia Jenerali Amir Ali Hajizadeh – Kamanda wa Kikosi cha Anga (Aerospace Forces)​

Kitengo cha mashambulizi kwa njia ya anga - makombora ya masafa marefu na ndege zisizo na rubani (drones).


Brigedia Jenerali Dawood Shekhiyan – Kamanda wa Kikosi cha Ulinzi wa Anga​

Ulinzi wa anga la Iran dhidi ya mashambulizi ya ndege za kivita, kwa kutumia rada na makombora ya kujihami.


Brigedia Jenerali Mohammad Kazemi – Mkuu wa Usalama wa Taifa​

Mtaalamu wa usalama wa ndani ya kijeshi, alisimamia idara ya kijasusi ya IRGC.


Jenerali Hassan Mohaqiq – Naibu Mkuu wa Usalama wa Taifa​

Mshirika wa karibu wa Kazemi, alihusika na shughuli za uchunguzi na taarifa za ndani.


Jenerali Gholam Ali Rashid – Mkuu wa kikosi cha Khatam-al Anbiya​

Ni kikosi kinahohusika na kuratibu wa mipango mikuu ya kijeshi na kuunganisha vikosi vya ardhini, angani, na majini.


Brigedia Jenerali Mehdi Rabbani – Naibu Mkuu wa Majeshi​

Alikuwa mshauri na mratibu wa mikakati ya ndani ya ulinzi.=


Luteni Jenerali Ali Shamkhani – Mshauri Mkuu wa Ayatollah katika Vita​

Alihusika katika ushauri wa juu wa kijeshi na sera za Mashariki ya Kati.


Brigedia Jenerali Reza Mozaffarinia Hosein – Mkuu wa Shirika la Uvumbuzi na Utafiti wa Kiulinzi​

Aliongoza maendeleo ya teknolojia za kijeshi, utafiti wa silaha mpya na maendeleo ya mfumo wa ulinzi wa kisasa.
Blaa Blaa kina Al Shemkhan mbona wako hai katika hao Mageneral ulio wataja 4 wote wako hai


View: https://youtube.com/shorts/fi68AdZIWxE?si=piPa8jgi3uwwSGeR
 
Hivi ni vichwa vilivyoliwa na marubani wa kike kwa siku 12 tu katika maziezi ya kujiweka fiti.

Jenerali Mohammad Bagheri – Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi ya Iran​

Aliyesimamia vikosi vyote vya kijeshi vya Iran na ulinzi wa kitaifa.

Jenerali Ali Shadmani – Mkuu wa Majeshi wa Iran mpya​

Alichukua nafasi ya Bagheri baada ya kuuawa.


Meja Jenerali Hossein Salami – Mkuu wa Kikosi cha IRGC​

Kiongozi wa Kikosi kikubwa zaidi kwenye jeshi la Iran cha Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC), aliyeongoza sera za kijeshi dhidi ya Marekani na Israel pamoja na ufadhili wa Houthi, Hamas, Hezbollah, n.k.


Brigedia Jenerali Amir Ali Hajizadeh – Kamanda wa Kikosi cha Anga (Aerospace Forces)​

Kitengo cha mashambulizi kwa njia ya anga - makombora ya masafa marefu na ndege zisizo na rubani (drones).


Brigedia Jenerali Dawood Shekhiyan – Kamanda wa Kikosi cha Ulinzi wa Anga​

Ulinzi wa anga la Iran dhidi ya mashambulizi ya ndege za kivita, kwa kutumia rada na makombora ya kujihami.


Brigedia Jenerali Mohammad Kazemi – Mkuu wa Usalama wa Taifa​

Mtaalamu wa usalama wa ndani ya kijeshi, alisimamia idara ya kijasusi ya IRGC.


Jenerali Hassan Mohaqiq – Naibu Mkuu wa Usalama wa Taifa​

Mshirika wa karibu wa Kazemi, alihusika na shughuli za uchunguzi na taarifa za ndani.




Jenerali Gholam Ali Rashid – Mkuu wa kikosi cha Khatam-al Anbiya​

Ni kikosi kinahohusika na kuratibu wa mipango mikuu ya kijeshi na kuunganisha vikosi vya ardhini, angani, na majini.


Brigedia Jenerali Mehdi Rabbani – Naibu Mkuu wa Majeshi​

Alikuwa mshauri na mratibu wa mikakati ya ndani ya ulinzi.=


Luteni Jenerali Ali Shamkhani – Mshauri Mkuu wa Ayatollah katika Vita​

Alihusika katika ushauri wa juu wa kijeshi na sera za Mashariki ya Kati.


Brigedia Jenerali Reza Mozaffarinia Hosein – Mkuu wa Shirika la Uvumbuzi na Utafiti wa Kiulinzi​

Aliongoza maendeleo ya teknolojia za kijeshi, utafiti wa silaha mpya na maendeleo ya mfumo wa ulinzi wa kisasa.
Counter intelligence yao ina udhaifu mkubwa mno.

T14 Armata zitto junior
 
Vita ya siku chache zilizopita Israel walitoa kipaumbele kikubwa kwa marubani wa kike,

Hivi ni vichwa vilivyoliwa na marubani wa kike kwa siku 12 tu.

Jenerali Mohammad Bagheri – Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi ya Iran​

Aliyesimamia vikosi vyote vya kijeshi vya Iran na ulinzi wa kitaifa. (Ni sawa na Mkunda au Mabeyo huko Iran)

Meja Jenerali Hossein Salami – Mkuu wa Kikosi cha IRGC​

Kiongozi wa Kikosi kikubwa zaidi kwenye jeshi la Iran cha Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC), aliyeongoza sera za kijeshi dhidi ya Marekani na Israel pamoja na ufadhili wa Houthi, Hamas, Hezbollah, n.k.

Brigedia Jenerali Amir Ali Hajizadeh – Kamanda wa Kikosi cha Anga (Aerospace Forces)​

Kitengo cha mashambulizi kwa njia ya anga - makombora ya masafa marefu na ndege zisizo na rubani (drones).

Brigedia Jenerali Dawood Shekhiyan – Kamanda wa Kikosi cha Ulinzi wa Anga​

Ulinzi wa anga la Iran dhidi ya mashambulizi ya ndege za kivita, kwa kutumia rada na makombora ya kujihami.

Brigedia Jenerali Mohammad Kazemi – Mkuu wa Usalama wa Taifa​

Mtaalamu wa usalama wa ndani ya kijeshi, alisimamia idara ya kijasusi ya IRGC.

Jenerali Hassan Mohaqiq – Naibu Mkuu wa Usalama wa Taifa​

Mshirika wa karibu wa Kazemi, alihusika na shughuli za uchunguzi na taarifa za ndani.

Jenerali Gholam Ali Rashid – Mkuu wa kikosi cha Khatam-al Anbiya​

Ni kikosi kinahohusika na kuratibu wa mipango mikuu ya kijeshi na kuunganisha vikosi vya ardhini, angani, na majini.

Brigedia Jenerali Mehdi Rabbani – Naibu Mkuu wa Majeshi​

Alikuwa mshauri na mratibu wa mikakati ya ndani ya ulinzi.=

Luteni Jenerali Ali Shamkhani – Mshauri Mkuu wa Ayatollah katika Vita​

Alihusika katika ushauri wa juu wa kijeshi na sera za Mashariki ya Kati.

Brigedia Jenerali Reza Mozaffarinia Hosein – Mkuu wa Shirika la Uvumbuzi na Utafiti wa Kiulinzi​

Aliongoza maendeleo ya teknolojia za kijeshi, utafiti wa silaha mpya na maendeleo ya mfumo wa ulinzi wa kisasa.
It seems wote hao walimwogopa Ayatollah zaidi ya walivyomwogopa shetani! Kumwambia ukweli hawawezi everything ni hewala mtukufu! Matokeo yake ndio hivyo.
 
Vita ya siku chache zilizopita Israel walitoa kipaumbele kikubwa kwa marubani wa kike,

Hivi ni vichwa vilivyoliwa na marubani wa kike kwa siku 12 tu.

Jenerali Mohammad Bagheri – Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi ya Iran​

Aliyesimamia vikosi vyote vya kijeshi vya Iran na ulinzi wa kitaifa. (Ni sawa na Mkunda au Mabeyo huko Iran)

Meja Jenerali Hossein Salami – Mkuu wa Kikosi cha IRGC​

Kiongozi wa Kikosi kikubwa zaidi kwenye jeshi la Iran cha Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC), aliyeongoza sera za kijeshi dhidi ya Marekani na Israel pamoja na ufadhili wa Houthi, Hamas, Hezbollah, n.k.

Brigedia Jenerali Amir Ali Hajizadeh – Kamanda wa Kikosi cha Anga (Aerospace Forces)​

KitIsrael loss is more than $12 billion engo cha mashambulizi kwa njia ya anga - makombora ya masafa marefu na ndege zisizo na rubani (drones).

Brigedia Jenerali Dawood Shekhiyan – Kamanda wa Kikosi cha Ulinzi wa Anga​

Ulinzi wa anga la Iran dhidi ya mashambulizi ya ndege za kivita, kwa kutumia rada na makombora ya kujihami.

Brigedia Jenerali Mohammad Kazemi – Mkuu wa Usalama wa Taifa​

Mtaalamu wa usalama wa ndani ya kijeshi, alisimamia idara ya kijasusi ya IRGC.

Jenerali Hassan Mohaqiq – Naibu Mkuu wa Usalama wa Taifa​

Mshirika wa karibu wa Kazemi, alihusika na shughuli za uchunguzi na taarifa za ndani.

Jenerali Gholam Ali Rashid – Mkuu wa kikosi cha Khatam-al Anbiya​

Ni kikosi kinahohusika na kuratibu wa mipango mikuu ya kijeshi na kuunganisha vikosi vya ardhini, angani, na majini.

Brigedia Jenerali Mehdi Rabbani – Naibu Mkuu wa Majeshi​

Alikuwa mshauri na mratibu wa mikakati ya ndani ya ulinzi.=

Luteni Jenerali Ali Shamkhani – Mshauri Mkuu wa Ayatollah katika Vita​

Alihusika katika ushauri wa juu wa kijeshi na sera za Mashariki ya Kati.

Brigedia Jenerali Reza Mozaffarinia Hosein – Mkuu wa Shirika la Uvumbuzi na Utafiti wa Kiulinzi​

Aliongoza maendeleo ya teknolojia za kijeshi, utafiti wa silaha mpya na maendeleo ya mfumo wa ulinzi wa kisasa.
Unazungumzia Iran hii hii iliyoitia hasara ya $12 billion nchi ya Israel ndani ya siku 12 tu angalia hapaIsrael loss is more than $12 billion
Unazungumzia Iran hii iliyofanya raia wa Israel wakimbie nchi yao hadi serikali kuzuia Israel bans citizens leave country
Unazungumzia Iran hii hii iliyoisupply Russia with Kamikaze or "Shehad drones" hadi kubadilisha upepo wa vita ya UkraineOna jinsi Kamikaze drone ilivobadilisha upepo wa vita ya Ukraine hapa
Unazungumzia Iran hii hii iliyohit Weizmana institute the oldest and largest in IsraelIran destroys 45 labs of Israel major science centre
Unazungumzia Iran hii hii ilimpiga Israel kwa kutumia the deadliest weapon missile ambayo inapenya tu kwenye air defense za U.K.na U.S technology IRAN DEADLIEST MISSILE HIT CENTEAL TEL AVIV
Iran imempiga Israel bila hata mwanajeshi mmoja kutembea mita 100,katika nchi yenye wanajeshi zaidi ya milioni,.....bado tu huogopi?

Au wewe ni kama wale wakristo wachache wapumbavu,wanaoamini Israel ni taifa la mungu linatetea ukristo ilhali Israel INA WAISLAM mara tano ya wakristoISRAEL WAISLAM NI MARA TANO YA WAKRISTO,huku mkristo ni taka taka tu ndani ya Israel😗😁😃😅
 
Unazungumzia Iran hii hii iliyoitia hasara ya $12 billion nchi ya Israel ndani ya siku 12 tu angalia hapaIsrael loss is more than $12 billion
Unazungumzia Iran hii iliyofanya raia wa Israel wakimbie nchi yao hadi serikali kuzuia Israel bans citizens leave country
Unazungumzia Iran hii hii iliyoisupply Russia with Kamikaze or "Shehad drones" hadi kubadilisha upepo wa vita ya UkraineOna jinsi Kamikaze drone ilivobadilisha upepo wa vita ya Ukraine hapa
Unazungumzia Iran hii hii iliyohit Weizmana institute the oldest and largest in IsraelIran destroys 45 labs of Israel major science centre
Unazungumzia Iran hii hii ilimpiga Israel kwa kutumia the deadliest weapon missile ambayo inapenya tu kwenye air defense za U.K.na U.S technology IRAN DEADLIEST MISSILE HIT CENTEAL TEL AVIV
Iran imempiga Israel bila hata mwanajeshi mmoja kutembea mita 100,katika nchi yenye wanajeshi zaidi ya milioni,.....bado tu huogopi?

Au wewe ni kama wale wakristo wachache wapumbavu,wanaoamini Israel ni taifa la mungu linatetea ukristo ilhali Israel INA WAISLAM mara tano ya wakristoISRAEL WAISLAM NI MARA TANO YA WAKRISTO,huku mkristo ni taka taka tu ndani ya Israel😗😁😃😅
Kelele nyingi kutoka kwenye source za uchochoroni 😂😂

Weka hapa hata rubani moja tu wa Israel alieuawa, MOJA TU !! ndege kibao zinaingia na kutoka Iran lakini hakuna hata moja iliyoshuswa, Israel akiingia Iran anakula vichwa vya tu !

Israel kujilinda kifedha sio hasara yoyote kwake hata atumie billions of dollars, Pesa kwa Israel ni kama makaratasi, , wao wanauza teknolojia tu, ndio maana inaitwa startup nation, hakuna nchi dunia nzima yenye msongamano mkubwa wa makampuni ya ubunifu kama Israel, ndio kundi kubwa lenye ma genius waliobeba noble prize za kitaaluma, akili ni silaha kubwa sana.
 
Mwanajeshi kufa vitani kawaida,Ila Telaviv kusambazwa kuwa vifusi mji mzima sio kawaida ni maajabu ya karne😂🤸🤸🤸
 
Blaa Blaa kina Al Shemkhan mbona wako hai katika hao Mageneral ulio wataja 4 wote wako hai


View: https://youtube.com/shorts/fi68AdZIWxE?si=piPa8jgi3uwwSGeR

Hawa Jamaa Walionywa sana wenzao walijua fika nini kitawatokea ila upashkuna wao na kidomodomo kimewapata. Viwanda vinarudisha nyuma sana. Iran inatakiwa iishi kama nchi nyingine. Issue zao za Ki Allah Allah siyo Hakuna Mungu anayetaka uangamize wengine kisa hawaabudu unachotaka ni Temptations za Iblis tu.​

Exclusive: Saudi warned Iran to reach nuclear deal with Trump or risk Israeli strike​


By Samia Nakhoul and Parisa Hafezi
May 30, 20256:48 PM GMT+3Updated May 31, 2025

Iran's Supreme Leader Ayatollah Ali Khamenei meets Saudi Defence Minister Prince Khalid bin Salman in Tehran

Item 1 of 7 Iran's Supreme Leader Ayatollah Ali Khamenei meets Saudi Defence Minister Prince Khalid bin Salman in Tehran, Iran, April 17, 2025. Office of the Iranian Supreme Leader/WANA (West Asia News Agency)/Handout via

DUBAI, May 30 (Reuters) - Saudi Arabia's defence minister delivered a blunt message to Iranian officials in Tehran last month: take President Donald Trump's offer to negotiate a nuclear agreement seriously because it presents a way to avoid the risk of war with Israel.
Alarmed at the prospect of further instability in the region, Saudi Arabia's 89-year-old King Salman bin Abdulaziz dispatched his son, Prince Khalid bin Salman, with the warning destined for Iran's Supreme Leader Ayatollah Ali Khamenei, according to two Gulf sources close to government circles and two Iranian officials.
 
Alafu hapo kobazi watakwambia kuwa wao ndo wameshinda vita
 
Back
Top Bottom