Iran has killed all spies

Ili kuhalalisha mauaji hayo ya raia, Iran ina uwezo wa kusema chochote ili mataifa wasimseme zaidi. Lakini kusema ati hao wote walikuwa majasusi, iweje hiyo ndege iamke uanjani bila shida yeyote hvi inaingia akilini kweli?? Walishindwa nini kuwazuia hadi wapande ndege na ndege iinuke ndo iangushwe??
Maswali ni mengi kuliko majibu. Iran iwajibishwe tu kwa mauaji yaso na sababu
 

Ila piamleta mada kumbuka cia na mossad watu wao wakifa huwa kamwe serikal zao hazikiri walikuwa spy hivyo kuna Dalili za uwongo hapa.
 
lugha nzuri, mada matango pori
 
we mtoa mada una akili matope, yaani uue watu zaidi ya 150 kwa ajili ya maspies wawili au watatu

Sorry, huyu ametoa mada na si yeye kahusika kulipua hiyo ndege.
Kama kuna mwenye matatizo ni aliye amuru hiyo ndege idunguliwe na si mleta mada.
 
Amerika na Israel iliwajibishwa lini kwa mauaji na unyama anaofanya? Au kwakua ni Iran?
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Iran walinishangaza eti wamefananisha ndege na cruise missile. Yaani ndege ya abiria ilivo na speed ndogo vile na radar signature kubwa washindwe kuitofautisha na kombola. Hata heat emission ya ndege ni ndogo kuliko ya missile
Ndio ufungue tafakari pana..then why waliishoot?
 
Logic but sizani kama CIA wanaweza kuwa 63 ndani ya ndege moja uo ni uongo labda walikuwepo watu kama 3 pengine mmoja.
63 American spies with Canadian Passport waliwatambua baada ya ndege kupaa? Yaani intelligence yao ilishindwa kutambua all 63 Spies before??
Niliuliza swali kama hili kwa hawa Mapopoma wa Lumumba sikujibiwa. Maspy wa Marekani 63 wapande ndege moja utafikiri nao wako kwenye payroll ya Makonda?
Bila kujali kama habari ni kweli au si kweli, lakini mnatakiwa kuelewa alichoandika mleta mada kwamba:- Kwamba intelligence iligundua ndani ya ndege kulikuwa na Majasusi wanaotumia passposrt za Canada! Aidha, kwenye ndege kulikuwa na ABIRIA (sio majusi) 63 waliokuwa wanatumia passport za Canada! Hivyo basi, kama kulikuwa na Majasusi waliokuwa wanatumia passport za Canada, basi majasusi hao wapo AMONG 63 passengers! Which means, kati ya hao 63, kulikuwa na ama jasusi 1, au 2, au 3, au 4 na kuendelea, au hata wote 63 lakini haku-conclude kwamba kulikuwa na majasusi 63!!!
 
Iran walinishangaza eti wamefananisha ndege na cruise missile. Yaani ndege ya abiria ilivo na speed ndogo vile na radar signature kubwa washindwe kuitofautisha na kombola. Hata heat emission ya ndege ni ndogo kuliko ya missile
Hapa US yenyewe ilishindwa kutofautisha nini mpk ikalipua ndege ya abiria?

dodge
 
Amerika na Israel iliwajibishwa lini kwa mauaji na unyama anaofanya? Au kwakua ni Iran?

Sent using Jamii Forums mobile app
Kakaa, acha tu ushabiki ka huo. Udungue ndege ya kiraia kisa imebeba wazungu?? Hii si vyema hata shetwani atakataa. Kule ndani walikuwepo watu mbalimbali, wanaotegemewa mno. Uwaue tu kwa sababu ya kiu yako ya damu au kwa sababu ya hasira ya kuuliwa kwa askari muuaji mkuu?? Sitaki hata kusoma utakacho andika tena
 
US ilivyotungua ndege ya abiria ya Iran unajua alichokisema George HW Bush?



dodge
 
Nijibu swali langu kwanza
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…