Iramba WAIZIKA CHADEMA na UKAWA

Iramba WAIZIKA CHADEMA na UKAWA

Muulize Lowassa aliye mwaga kadi 16,000 za CCM kwenye kijiji chenye wanachama ELFU 10 wa CCM.

Jimbo la mtama lina wanachama elufu 10?
kama ni hivyo inakuwaje nape apata kura zaidi ya elufu kumina moja alafu anayemfuata elufu nne na na wa tatu elufu +?
 
Kama kuna mzazi au mlezi ana mtoto au jamaa katika hawa, kura yake mara ifikapo octoba 25, hatasita kumchagua Lowassa na wabunge pamoja na madiwani wanaotokana na UKAWA
attachment.php
 
Back
Top Bottom