Iramba WAIZIKA CHADEMA na UKAWA

Iramba WAIZIKA CHADEMA na UKAWA

Kama ni huyo mr chin hakuna kitu.yeye yupo kila mahali kama upepo akipuliza -----.
 
Hapo ukifingua hizo kadi ndani hazina majina
r.i.p sisiem
 
12063394_909349615768447_161580421375893780_n.jpg



Mbona hizi kadi mpya sana ?.

Kadi za kutengeneza izo mkuu
 
CCM wasanii sana Yan aiseee

Wanahangaika bure tu huo usanii haubadilishi maamuzi
hizo kadi gani za wanachama hazina picha?
kuna siku mzee wa Kuwait pia alikua kashika kadi haijaandikwa kitu
 
Mr Chin lini unarudi jukwaa la dini na ile ID yako ya kawaida?....teh teh....kipindi cha election tunashuhudia mengi.
 
12063394_909349615768447_161580421375893780_n.jpg





Hali imekuwa tete kule Iramba. Habari tulizo zipokea hivi punde zinasema kuwa, Iramba hawataki tena UKAWA wao ni CCM tu wakiongonzwa na katibu mwenezi. Hii ni ishara tosha kuwa CCM inaendelea kung'ara kila kona hapa Tanzania.
12111948_909330109103731_3354977552224465668_n.jpg



Picha hizo juu ni Iramba Magharibi. Magufuli tisha mbaya. UKAWA wamesha agwa na wakazi wa Iramba.


Kwa Mwendo Huu, Utabiri Wa TWAWEZA Unaweza Ukapitwa Kwa Mbali Zaidi. Kweli Uraisi Haununuliwi.
 
[h=3]
12063394_909349615768447_161580421375893780_n.jpg
[/h]
12140669_909349632435112_4554302274295140123_n.jpg


Hali imekuwa tete kule Iramba. Habari tulizo zipokea hivi punde zinasema kuwa, Iramba hawataki tena UKAWA wao ni CCM tu wakiongonzwa na katibu mwenezi. Hii ni ishara tosha kuwa CCM inaendelea kung'ara kila kona hapa Tanzania.
12111948_909330109103731_3354977552224465668_n.jpg


12115596_909330129103729_4495738643898982795_n.jpg

Picha hizo juu ni Iramba Magharibi. Magufuli tisha mbaya. UKAWA wamesha agwa na wakazi wa Iramba.


Huu ni Mtazamo finyu wako. Tumekusikia kalale baba
 
chadema imepata wanachama wengi mwaka huu tu na inakimbiwa mawaka huu na kufutwa tar 25 oct 2015

Chadema kama chadema itabakia kwa miaka mingi sana wala usijipe moyo eti itakwisha CCM inapotea kwenye Ramani
 
Back
Top Bottom