IPTL/PAP wamvaa David Kafulila



Chanzo: GAZETI LA MAJIRA 8th October 2014


http://habarihuru.blogspot.com/2014/10/iptlpap-yamvaa-kafulila.html
PAP/IPTL ina dhamira kubwa kwa watanzania na inasononeka kwa kiasi kikubwa na kauli za wanasiasa uchwara wanazotoa dhidi yao kwa lengo la kuichafua heshima iliyojijengea kampuni hiyo mbele ya watanzania kwa umma kuwa ni ovu na hazina tija kwa taifa letu na kuwaomba watanzania kuzipuuza kauli hizo kwa kuwa hazina msingi wowote,kwa kuwa kauli hizo zinatolewa na wanasiasa wanaotumiwa na kampuni pinzani na IPTL ili kuwachafua.
 
PAP/IPTL ina dhamira kubwa kwa watanzania na inasononeka kwa kiasi kikubwa na kauli za wanasiasa uchwara wanazotoa dhidi yao kwa lengo la kuichafua heshima iliyojijengea kampuni hiyo mbele ya watanzania kwa umma kuwa ni ovu na hazina tija kwa taifa letu na kuwaomba watanzania kuzipuuza kauli hizo kwa kuwa hazina msingi wowote,kwa kuwa kauli hizo zinatolewa na wanasiasa wanaotumiwa na kampuni pinzani na IPTL ili kuwachafua.
 
kweli kabisa mkuu wangu jamaa naona afaatilee kabisa huu mchakato
na tena anaingia kwa kubeep sana humu
PAP/IPTL ina dhamira kubwa kwa watanzania na inasononeka kwa kiasi kikubwa na kauli za wanasiasa uchwara wanazotoa dhidi yao kwa lengo la kuichafua heshima iliyojijengea kampuni hiyo mbele ya watanzania kwa umma kuwa ni ovu na hazina tija kwa taifa letu na kuwaomba watanzania kuzipuuza kauli hizo kwa kuwa hazina msingi wowote,kwa kuwa kauli hizo zinatolewa na wanasiasa wanaotumiwa na kampuni pinzani na IPTL ili kuwachafua.
 
Ingekuwa rahisi sana kumpuuza Kafulila na kupotezea suala la IPTL kama kusingekuwepo na michango mingi inayoelekea kubebana na yenye jazba nyingi kumshambulia kama inayoonekana kwenye uzi huu na mingine iliyotangulia. Kwanza, watu wengi wameshachoka kufuatilia mikasa ya aina hii hapa nchini. Hivi mtu "asiye na hoja" anawezaje kuvutia mashambulizi kiasi hiki na kwa mpangilio huu? Haiwezekani "akapuuzwa" tu? Something is really fishy here.
 

IPTL imetokana na Muungano wa kampuni yaMechmar (Malaysia) Berhard (70%) na VIP(30%), na kampuni ya PAP/IPTL iliyoundwa baada ya kununuliwakampuni kwa kampuni hizo hapo juu,hivyokitendo cha kuzungumzia utendaji kazi wa kampuni ya IPTL(CHINI YA PAP) kwakuihusisha na kampuni ya IPTL chini ya Mechmar na VIP ni kuionea PAP nakuikosea kampuni hii ya PAP/IPTL.
 

IPTL imetokana na Muungano wa kampuni yaMechmar (Malaysia) Berhard (70%) na VIP(30%), na kampuni ya PAP/IPTL iliyoundwa baada ya kununuliwakampuni kwa kampuni hizo hapo juu,hivyokitendo cha kuzungumzia utendaji kazi wa kampuni ya IPTL(CHINI YA PAP) kwakuihusisha na kampuni ya IPTL chini ya Mechmar na VIP ni kuionea PAP nakuikosea kampuni hii ya PAP/IPTL.
 

IPTL imetokana na Muungano wa kampuni yaMechmar (Malaysia) Berhard (70%) na VIP(30%), na kampuni ya PAP/IPTL iliyoundwa baada ya kununuliwakampuni kwa kampuni hizo hapo juu,hivyokitendo cha kuzungumzia utendaji kazi wa kampuni ya IPTL(CHINI YA PAP) kwakuihusisha na kampuni ya IPTL chini ya Mechmar na VIP ni kuionea PAP nakuikosea kampuni hii ya PAP/IPTL.
 
kweli kabisa mkuu wangu jamaa naona afaatilee kabisa huu mchakato
na tena anaingia kwa kubeep sana humu

IPTL imetokana na Muungano wa kampuni yaMechmar (Malaysia) Berhard (70%) na VIP(30%), na kampuni ya PAP/IPTL iliyoundwa baada ya kununuliwakampuni kwa kampuni hizo hapo juu,hivyokitendo cha kuzungumzia utendaji kazi wa kampuni ya IPTL(CHINI YA PAP) kwakuihusisha na kampuni ya IPTL chini ya Mechmar na VIP ni kuionea PAP nakuikosea kampuni hii ya PAP/IPTL.
 

You have the facts, right? Then why not just ignore "twisted" Kafulila or, at the best, initiate legal proceedings to stop his annoying defamation move against PAP/IPTL? This kind of thread, instead of clearing the air, certainly draws more "flies" to the "imaginary" rot that you wish to dispel. For the sake of the integrity of PAP/IPTL, extending this discussion is not a good idea at all.
 


Kafulila hakupuuzwa ndio maana uchunguzi unafanywa na PCCB/CAG. Kinachofanyika ni kuweka wazi wananchi wajue ukweli kwamba huyu ambae wao waridhani ni mpambanaji amewapotosha, kwahyo tukae kimya mkuu tuache tumbili aendelee kupotosha watu. Huwezi muachia tumbili shamba la mahindi, au hujui hila za tumbili.
 
(i)which was meant to support the country's 2014/15 general budget, has been suspended pending the release of the IPTL probe reports.

(ii)The donors, said the Finland ambassador, would for the time being wait for the final CAG report before making any categorical commitment to support the national budget.

(iii) "Development partners are now awaiting the CAG report and information about its key findings, as well as a response from government, which will determine our decisions on further disbursements," said the envoy.

USIPOTOSHE UMMA , DONORS WANASUBIRI RIPOTI YA CAG, THIS DOES NOT MEAN WAMECONCLUDE KUWA KUNA UFISADI. DONORS WANASUBIRI FINDS ZA CAG NA KAMA KUNA UFISADI KWELI NI HATUA GANI ZITACHUKULIWA. HIKI NDIO KAFULILA ALICHOFAULU KUKIFANYA, UJINGA WAKE YEYE WA MASLAHI YAKE UNALIUMIZA TAIFA. KAFULILA TUTAMUHUKUMU WATANZANIA KWA KUTUCHELEWESHEA WATANZANIA UTEKELEZAJI WA BAJETI YETU. UPUUZI WA KAFULILA UNAWAGHARIMU MPAKA SHANGAZI ZAKE KAKONKO KULE.
 
Kafulila atakoma kuingilia mambo ya kampuni binafsi, hivi kwani hawezi kupigania viwanda vya mawese vinavyoendela kufilisika kila siku huko kigoma badala ya kuingilia kampuni ambayo iko pale kisheria
Kafulilainabi di afahamu kuwa sio kila mtu ni lazima awe na mawazo na maoni sawa juu yakitu Fulani, kupishana mawazo ndio uhai wa fikra huru, sio kila anayeteteauonevu dhidi ya kampuuni ya IPTL/PAP amejitoa ufahamu kama anavyodai kila mtuana haki ya kuamini na kuunga mkono kile anachokiamini ni sahihi, mimi ninaaminiIPTL/PAP inaonewa na wanasiasa na wafanyabiashara uchwara wenye chuki dhidi yaIPTL/PAP.
 
Kafulilainabidi afahamu kuwa sio kila mtu ni lazima awe na mawazo na maoni sawa juu yakitu Fulani, kupishana mawazo ndio uhai wa fikra huru, sio kila anayeteteauonevu dhidi ya kampuuni ya IPTL/PAP amejitoa ufahamu kama anavyodai kila mtuana haki ya kuamini na kuunga mkono kile anachokiamini ni sahihi, mimi ninaaminiIPTL/PAP inaonewa na wanasiasa na wafanyabiashara uchwara wenye chuki dhidi yaIPTL/PAP.
 

Kafulilainabi di afahamu kuwa sio kila mtu ni lazima awe na mawazo na maoni sawa juu yakitu Fulani, kupishana mawazo ndio uhai wa fikra huru, sio kila anayeteteauonevu dhidi ya kampuuni ya IPTL/PAP amejitoa ufahamu kama anavyodai kila mtuana haki ya kuamini na kuunga mkono kile anachokiamini ni sahihi, mimi ninaaminiIPTL/PAP inaonewa na wanasiasa na wafanyabiashara uchwara wenye chuki dhidi yaIPTL/PAP.
 

We mtu ulizaliwa darasani nini?,una akili sana mkuu
 

Something is really doggy here,its either kafulila alipga hela za symbion kuichafua iptl au kafulila amepata hasira baada ya iptl kugoma kumpa hongo aliyotaka eti asiiharibie iptl,jamaa wakamtosa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…