TreasureFred
Member
- Feb 25, 2008
- 64
- 3
Wana Jf
Nimesukumwa kuandika post hii baada ya kupata tetesi kuwa mwenyekiti anaenda Tabora kutowa msaada wakati mpaka leo hii hatuja pokea mishahara yetu.
Mwezi ulopita tumepokea tar 8,juzi imetumwa email na idara ya uhasibu kuwa ttusitegemee mishahara soon hili ni jambo la kuikitisha.
Najua pos hii itaondolewa lakini umefika wakati kujiuliza hii ni haki?
amekuwa mstari wa mbele kututaka kuwa wavumilivu,umeanzishwa mtindo kuwa pesa za Matangazo mwenyekiti anazichukua zote kufanyia siasa sisi anataka kampuni ijiendeshe kwa pesa za kuuza magazeti wakati kurasa moja ya NIPASHE ama GUARDIAN thamani yake ni magazeti 3000,tunatafuta matangazo pesa anazichukua matokeo yake tunalipwa tarehe 8 or 15 ya mwezi mwingine hii inavunja moyo na kuumiza.
naomba kuwasilisha
Nimesukumwa kuandika post hii baada ya kupata tetesi kuwa mwenyekiti anaenda Tabora kutowa msaada wakati mpaka leo hii hatuja pokea mishahara yetu.
Mwezi ulopita tumepokea tar 8,juzi imetumwa email na idara ya uhasibu kuwa ttusitegemee mishahara soon hili ni jambo la kuikitisha.
Najua pos hii itaondolewa lakini umefika wakati kujiuliza hii ni haki?
amekuwa mstari wa mbele kututaka kuwa wavumilivu,umeanzishwa mtindo kuwa pesa za Matangazo mwenyekiti anazichukua zote kufanyia siasa sisi anataka kampuni ijiendeshe kwa pesa za kuuza magazeti wakati kurasa moja ya NIPASHE ama GUARDIAN thamani yake ni magazeti 3000,tunatafuta matangazo pesa anazichukua matokeo yake tunalipwa tarehe 8 or 15 ya mwezi mwingine hii inavunja moyo na kuumiza.
naomba kuwasilisha