Yaani ingekuwa afadhali kwa kuwa ni watanzania, lakini kuweka picha ya polisi Kenya na kuwaita ni TPDF haiingii akilini kabisa!Sawa tutaweka ya mgambo au sungusungu 😂😂😂✏
Mkuu, usikute yeye ndio kawaleta shoga zake kuwa wahariri bila kuwa na sifa, tofauti na alivyofanya mzee wake huko nyuma!Kwani Da' Jakiline amesemaje kuhusu hao waandishi wanaoharibu kampuni ambayo mzee wake ndie mwenyekiti?
Waandishi wa habari wa Tanzania ni wavivu.
Uliona hata ile ajali ya kivuko walivyoripoti picha za uongo. Waliweka picha moja ya ajali ya boti huko bahari za mbali watu wakitapatapa wakawaaminisha watu ni picha ya ajali ya MV Nyerere. Wavivu sana hawa watu.