Hawa Ipp media ni wana ukabila sana aisee yaani crew yao mzima ni wachaga kwanzia MD mpaka mfagizi ni wachaga watupu hivi kwamba watu wa makabila mengine hawapo mpaka muajiri wachaga tu? Sio kama ukabila ni nini? Na watu wengi sana wakija kuomba ajira hapo kwenu lazima muulize ni kabila gani hili linafaida gani? Na kama mtu ni kabila nyingine atapigwa zengwe mpaka aondoke mwenyewe!!!! Acheni hizo bwana
Anzisha kampuni yako,uajili kabila lako, charity begins at home,
Nenda hospitali za masingasinga, asilimia 90 ya, Madonna, ni singasinga, waswahili ni wafagizi, tu,
Nenda kampuni za, mafuta,vituo vya kuuzia mafuta,GBP, nk, kama, nafasi za, juu, ni, Tanzanians of arabs extraction, za, chini ni waswahili tena lazima Uwe islam, Ila kama, mkristo, lazima, Uwe na sifa kubwa ambayo wameikosa kwa ndugu zao,nimefanya nao kazi sana, watu wazuri,
Ukifika zenj,ma hotel mengi wanamiriki wazungu, kama kuna huduma wanataka, kama stationery, service ya magenereta, AC, huwa wanatafuta kampuni za, wazungu wenzao, kitu cha kawaida sana,