Mbwilimbwili
Senior Member
- Jun 30, 2020
- 183
- 282
Naamini wahenga hawakukosea na msemo wao tukuka kabisa "Ngoma ikivuma sana inakaribia kupasuka", hapo Dodoma naona mnaendelea vizuri na kazi ya 'kuwatwika' zigo la tozo 'Wanachi wazalendo', nadhani sasa hivi inayofuatia ni tozo ya 'kubiolojiana', naamini huko pia mtapata mapato makubwa mno kwani kwa ninavyowajua 'Wazalendo' watalipa tu hata hiyo ili waendelee kufaidi starehe muhimu kuliko zote. Ila ipo muda si mrefu wataamka tu, hata 'mjinga' au 'popoma' hua anakua ana akili 'sometimes'.