Mbona tumechelewa sana, coz Computer Broz wanalia
UI Designer wametoka kulia juzi hapo, Ai inaandika code yenyewe
Mark naye anampango wa kufukuza programmer wore , Ai ifanye kazi
Na kumbuka hii generation ya kwanza Ai , kuna AGI na ASI - bado zote ni moto - hazijatoka