Internet-Money
JF-Expert Member
- Apr 20, 2021
- 623
- 1,319
Bongo movie na ma-model huko Instagram , mjipange sana. Hizi ni kazi za Ai, zilizonichukua Dakika 3 , ku-generate
AI Gani hiyo inayotengeneza movie?Bongo movie na ma-model huko Instagram , mjipange sana. Hizi ni kazi za Ai, zilizonichukua Dakika 3 , ku-generate
Hii Veo 3AI Gani hiyo inayotengeneza movie?
Thankx BroYani leo gwajima kama kafufua vibaka wa ccm kuja na mada zao
Sure hawa wajinga hawana hoja bora hizo 7000 zao nchi nzima ningepewa mimi nikinukisheYani leo gwajima kama kafufua vibaka wa ccm kuja na mada zao
Ni free?Hii Veo 3
Mpaka Voice Over inakuwekea na mziki inatengeneza pamoja na beat lake, so mpaka Diamond platinumz na Zombie wajipange huko walipo
View attachment 3352930
Kuna Trial ya 50k per MonthNi free?
Usijichulie Sheria mkononiMh! haya mkuu kwa kunionyesha tu picha ya huyo mrembo wa akili mnemba upwiru umenipanda!, usiendelee alasivyo muda si mrefu ntajibinya na mkono...🤣
Umechelewa kuniambia...🤣Usijichulie Sheria mkononi
Nashauri. Mapema kabla mambo hayajaharibika. SoMo la computer liwe tu la lazima kuanzia darasa la kwanza Bali liingize topic za AI and how it works.
Maana Hawa watoto wa grade one wakiwa nyumbani wanachezea simu. Sasa kama walivyoweza kutofautisha katuni na watu halisi ndio hivyo hivyo waweze kutofautisha image generated by AI.
Bila hivyo miaka 30 tu tokea sasa ( kwanza hata sasa) watakaokuwepo hawataweza kutofautisha.
View attachment 3352941
Nashauri. Mapema kabla mambo hayajaharibika. SoMo la computer liwe la lazima kuanzia darasa la kwanza na liingize topic za AI and how it works.
Maana Hawa watoto wa grade one wakiwa nyumbani wanachezea simu. Sasa kama walivyoweza kutofautisha katuni na watu halisi ndio hivyo hivyo waweze kutofautisha image generated by AI.
Bila hivyo miaka 30 tu tokea sasa ( kwanza hata sasa) watakaokuwepo hawataweza kutofautisha.
View attachment 3352941
Sijui, Somebody just sent me this. Sijauliza ni AI Gani ila its crazy.Ni AI gan hii mkuu?