Ipo siku ndoto yangu itatimia

Ipo siku ndoto yangu itatimia

drphone

JF-Expert Member
Joined
Sep 29, 2009
Posts
3,542
Reaction score
295
naamini kutokana na ushindani uliopo wa mitandao ya cm ipo cku mtandao mmoja utaamua kutumia kiwango kmoja kwa mitandao yote yani kama ni thumuni basi mitandao yote na ililikitimia watanzania watakuwa wamepunguziwa mzigo wa kutumia line 2 au cm 3-4 kwa wakati mmoja kwa sababu ya mfumo wa kila mtandao kujivutia kwake yani mwamba ngoma uvuta upande wake na ninatabiri atakaye aanza hili ni tigo kama kawa
 
ha ha ha.Sahau hilo.Katika soko la ushindani mkiwa wote kwenye viwango sawa hamshindani tena lazima mmoja awe chini ili amzidi mwenzake..
 
Nakuambia!!!!!!!!!!!!! mimi nililazimishwa kununua line ya TIGO, ezi hizo BUZZ kisa, cheap. mpaka sasa nimestack na maline 3, thanx to chinese wametupunguzia mzigo, maana siku hizi kuna simu yenye kutumia line 3.
kuna siku nilimkuta mtu ana simu 4, mifuko na mikono imejaa simu; LOL!
 
Back
Top Bottom