Ipi sehem nzuri Tanga ya kutembelea?

Ipi sehem nzuri Tanga ya kutembelea?

nanawoo

JF-Expert Member
Joined
Jan 2, 2015
Posts
1,312
Reaction score
1,278
Natanguliza shukran zangu kwa wote mliopo humu nimefika Tanga salama na nimefikia Nyinda classic pazuri sana pametulia ninaomba kwa wenyeji wa Tanga wanielekeze ni wapi pa kutembelea baada ya kazi au kama kuna mwenyej zaid ani pm hata no zake au kuniambia nimkute wapi anielekeze natumia private car
 
zipo nyingi tu labda tuanze na mambo gani unapenda uyakute katka matembez yako hii itasaidia kujua interest zako unapokuwa mahali
 
Napendelea sana supu supu michemsho na bite bite na michezo michezo like pool table table tanis swiming dar ilikua asubui naenda taifa kwa zoezi naona huku nimeamka alfajiri kweupe sana na jana usiku wa saa nne kweupe yaani utazan usiku wa manane aise mji huu umepoa sana
 
usiache kupitia La casa chica club usiku
 
Nyinda ipi umefika, raskazoni ama chuda, urojo fika forodhani mkabala na crdb bank, kuogelea na kujiachia raskazon
 
nenda tanga beach resort kama unataka hayo ila kama ni mpenda totoz nenda chichi
 
Usisahau kuja Pangani nikupeleke kiwanja cha Baracuda..........
 
Usisahau kuja Pangani nikupeleke kiwanja cha Baracuda..........

Wewe utakuwa ni hotelia au tourguide. Nimekuwa nikizisoma comment zako ndo maana nikasema hivyo. Au fly catcher? Hahahaaaa.......utani! Haya avuke Pangani aje Mkwaja maeneo ya Saadani. Where bush and sea meet.
 
Back
Top Bottom