BabaMorgan
JF-Expert Member
- Dec 18, 2017
- 5,188
- 14,346
- Thread starter
- #21
Shukrani mkuu.
Nanyoa nywele za brush tu. Kunyoa kipara sio mchezo by the way kama ni tiba nitalazimika kufanya hivyo.
Yan umenifungua macho..mimi mba hazijawahi kuisha aisee!Kama ulipo Kuna maji ya chumvi na sabuni unayotumia ni ya kipande huwezi kupona MBA kamwe.Sasa ufanye vipi epuka sabuni ya kipande kichwani tumia Shower gelly ama kama usawa unakaba basi jitahidi utumie shampoo.Ila sabuni za vipande hizi sijuwi mnaita medicated soap ndo chanzo Cha MBA.
kuna jamaa ni dokta special wa ngozi kwa anavosema anatibu haya maradhi niliona comment yke kwenye uzi kma huuMsaada wa tiba ya mba kichwaani au sabuni inayoweza kuwapunguza??
Natanguliza shukrani
MhKama ulipo Kuna maji ya chumvi na sabuni unayotumia ni ya kipande huwezi kupona MBA kamwe.Sasa ufanye vipi epuka sabuni ya kipande kichwani tumia Shower gelly ama kama usawa unakaba basi jitahidi utumie shampoo.Ila sabuni za vipande hizi sijuwi mnaita medicated soap ndo chanzo Cha MBA.
Kanunue shampoo nzuri haswa z wahindi na wazungu achana na shampoo za mtaani zinazo uzwa buku buku pili kuwa msafi kwa kuosha nywele na shampoo kila wiki anza kuosha na shampoo kisha suuza nywele na maji ya white vinegar pia kuwa makini nansaloon haswa za uswazi zinaambukiza sana mba sababu ya kuchangia vitana pia unaweza mix dawa za aspirin na white vinegar maana ndo rahisi apple cider vinegar gharama sana mix kisha nawia kichwani massage kichwa chote kwa dakika kadhaa kisha ukoshe na shampoo upakae mafuta kama ya nazi au olive oil mba wengine wanatokana na ukavu wa ngozi pakaa mafuta vitana chanuo lako vioshe pia na shampoo siku ukitoka kunyoa saloon OSHA nyweleMsaada wa tiba ya mba kichwaani au sabuni inayoweza kuwapunguza??
Natanguliza shukrani
Ukienda saloon watu wanaweza kuhisi unajimwagia mchanga kichwani