BabaMorgan
JF-Expert Member
- Dec 18, 2017
- 4,053
- 10,501
Msaada wa tiba ya mba kichwaani au sabuni inayoweza kuwapunguza??
Natanguliza shukrani
Update 20.05.2023
Nashukuru kwa michango yenu kupitia mawazo yenu niliamua kununua mafuta ya mnyonyo castor oil 4000 ambayo napaka kila nikitoka kuoga atleast naona kuna mabadiliko saa hivi hata nikikuna kichwa kiwango cha mba kinachotoka ni kidogo.
Natanguliza shukrani
Update 20.05.2023
Nashukuru kwa michango yenu kupitia mawazo yenu niliamua kununua mafuta ya mnyonyo castor oil 4000 ambayo napaka kila nikitoka kuoga atleast naona kuna mabadiliko saa hivi hata nikikuna kichwa kiwango cha mba kinachotoka ni kidogo.