Eng. SALUFU CA
Senior Member
- May 12, 2010
- 145
- 16
Ndugu wanajamvi nimesikia kwa muda mrefu kuwa lugha ya taifa hili la Tanzania ni kiswahili, cha kushangaza ni kwamba kwenye shughuli nying za kitaifa tunatumia kiingereza kama lugha kuu, kudhihirisha hilo leo hii dakika chache zilizopita kwenye maadhimisho ya miaka 50 ya Chuo Kikuu Cha Dar es salaam hotuba zote zimetolewa kwa kiingereza sanasana kiswahili kilikuwa kinachomekewa tu kama vile lugha ya kigeni, naombea mnijuze hivi ni kweli Kiswahili ndio lugha ya taifa hili au ni nadharia tu?