Ipi ni brand ya A.C nzuri zaidi?

Ipi ni brand ya A.C nzuri zaidi?

rapharacker

Member
Joined
Jul 22, 2016
Posts
65
Reaction score
23
Habari wana jukwaa naomba kuuliza ni kampuni gan (brand gani) ya A.C inadumu muda mrefu zaidi bila changamoto, gharama yake sio kubwa na ufanyaji kazi wake ni wa ufanisi zaidi?,

Je ni kweli A.C zenye inverter zinakula umeme kiasi kidogo kuliko ambazo hazina inverter? Naomba wazoefu wa hizi machine mnisaidie kupata majibu
 
Nashauri Daikin zipo vizuri sana, pia brands zingine kama LG, Samsung nazo zinafanya vizuri. Njia rahisi, jaribu kucheck kwenye maofisi au majumba ni AC zipi zimefungwa, always kilicho bora kinavutia wateja

Ndio, AC zenye inverter ni energy efficient!
 
Karibu pm mkuu nikupe AC za midea kwa bei nafuu matumizi rafiki na zenyekudumu muda mrefu bila changamoto
 
Ac inayofanya vizuri ni gree kwa sasa, mcheki yusuph ndo dealer pekee kwa hapa tanzania.
 
Ac inayofanya vizuri ni gree kwa sasa, mcheki yusuph ndo dealer pekee kwa hapa tanzania.
Gree mwaka 2018 au 19 niliwahi iona taasisi fulani ya private nilipokuwa kwenye kazi maalumu, aiseee ipo bomba sana. Sema wabongo tumeshakalili Hisense.
 
Back
Top Bottom