Kweli Mkuu, ukifumania wewe ndie mwenye mali, unaweza kuamua chochote, lakini kufumaniwa, sio kuaibishwa ndogondogo tu, unaweza hata kuuliwa. Wengine waliofumaniwa wamewahi hata kukameruniwa.
Kweli Mkuu, ukifumania wewe ndie mwenye mali, unaweza kuamua chochote, lakini kufumaniwa, sio kuaibishwa ndogondogo tu, unaweza hata kuuliwa. Wengine waliofumaniwa wamewahi hata kukameruniwa.