Ipi gari bomba kati ya Prado, Kluger na Suzuki Grand Escudo?

Zote nzuri inategemea mzunguko wa pesa yako.
Cif inategemea na ukubwa wa injini na mwaka wa kutengenezwa.
Jambo la msingi nunua gari la ndoto yako.
Kqangu naipenda sana suzuki gr escudo ni gari tamu sana
Kwanin unasema tamu mkuu ?
 
Basi nunua Tractor New Holland Tt55 coz kila gari kama halifai hivi ile ni imara sana hata kupigia msele
 
Naomba msaada wenu wakuu. Nimezishotilist hizi gari tatu ili ninunue mojawapo.
Vigezo
Uimara kuhimili safari za vijijini kuwaona wazee
Confortability
Upatikanaji wa spea

Uchunguzi nilioufanya unaonesha kuwa kodi ya prado na grand escudo ni sawa ila ya kluger ipo chini kidogo. CIF ya grand escudo ipo chini kidogo ukilinganisha na prado

Kwa utashi wangu nimezirank kama ifuatavyo
1. Suzuki grand escudo
2. Toyota prado
3. Toyota kluger

Mimi napenda sana gari yenye back tire
Karibuni kwa ushauri wakuu
Prado za 1998 mpaka 2002 hazijambo kwa kuchomoka tairi za mbele hizo gari...na 70% ya ajali zake ni tairi zimechomoka...pia kwenye kona hazina stability kama gari zingine.

Grand escudo na kruger zinayo stability nzuri na safari ipo japo grand escudo inapepea zaidi unless ikutane na kruger la cc3000 V6....

NOTE: ukijadili kuhusu wese ujue muda wa kumiliki ndinga bado.
 
FB_IMG_1478496257559.jpg
 
Prado za 1998 mpaka 2002 hazijambo kwa kuchomoka tairi za mbele hizo gari...na 70% ya ajali zake ni tairi zimechomoka...pia kwenye kona hazina stability kama gari zingine.

Grand escudo na kruger zinayo stability nzuri na safari ipo japo grand escudo inapepea zaidi unless ikutane na kruger la cc3000 V6....

NOTE: ukijadili kuhusu wese ujue muda wa kumiliki ndinga bado.
VIP fuel consumption ya Grand escudo?
 
Prado za 1998 mpaka 2002 hazijambo kwa kuchomoka tairi za mbele hizo gari...na 70% ya ajali zake ni tairi zimechomoka...pia kwenye kona hazina stability kama gari zingine.

Grand escudo na kruger zinayo stability nzuri na safari ipo japo grand escudo inapepea zaidi unless ikutane na kruger la cc3000 V6....

NOTE: ukijadili kuhusu wese ujue muda wa kumiliki ndinga bado.
Naulizia fuel consumption ya grand escudo ipoje ?
 
Sijajua kwa nini, ila mafundi wa Toyota Tanzania Limited, walinishauri nisinunue prado za Diesel... Sifahamu kama ilikuwa specific kwa model yangu au la...

Kama utaweza pata Hyundai Santa Fe ama Hyundai Tucson zipo okay sana na mchina bado hajaingilia vifaa vyake
 
Nimeendesha gari nyingi sana ila bahati mbaya sina experience na Suzuki Grand Vitarw, ingawa kwa haraka naweza kuifananisha na Rav4 Kili Time!

Kluger ni nzuri sana ingawa haina back up tyre!

Prado iko poa sana ingawa tatizo lake kubwa ni kuchomoka ball joints, ingawa huwa hazichomoki ukiwa kwny hi speed!
Back up tyre ikoje hiyoo
 
Mi nachojua Kluger hakuna 4WD, ambayo kwangu ni kigezo muhimu sana.
Sina uhakika wa Suzuki ila Unapoangalia Prado kwenye mtandao angalia pia na Engine Capacity, Fuel Type, etc,
Usije ukachukua gari based on price likakushinda kulihudumia
Kwa kigezo kipi hakuna 4WD... Labda ufafanue vzr. Nimetumia mfano wa kluger gari be4wd

335e268ea341eab9f3ad4d3bd2773c59.jpg
b6ec15532a6686794a1326a647fe98ee.jpg
7fdebbf4db04ee0288f9d2e93aab7628.jpg
 
Back
Top Bottom