Kwanin unasema tamu mkuu ?Zote nzuri inategemea mzunguko wa pesa yako.
Cif inategemea na ukubwa wa injini na mwaka wa kutengenezwa.
Jambo la msingi nunua gari la ndoto yako.
Kqangu naipenda sana suzuki gr escudo ni gari tamu sana
LolBasi nunua Tractor New Holland Tt55 coz kila gari kama halifai hivi ile ni imara sana hata kupigia msele
Prado za 1998 mpaka 2002 hazijambo kwa kuchomoka tairi za mbele hizo gari...na 70% ya ajali zake ni tairi zimechomoka...pia kwenye kona hazina stability kama gari zingine.Naomba msaada wenu wakuu. Nimezishotilist hizi gari tatu ili ninunue mojawapo.
Vigezo
Uimara kuhimili safari za vijijini kuwaona wazee
Confortability
Upatikanaji wa spea
Uchunguzi nilioufanya unaonesha kuwa kodi ya prado na grand escudo ni sawa ila ya kluger ipo chini kidogo. CIF ya grand escudo ipo chini kidogo ukilinganisha na prado
Kwa utashi wangu nimezirank kama ifuatavyo
1. Suzuki grand escudo
2. Toyota prado
3. Toyota kluger
Mimi napenda sana gari yenye back tire
Karibuni kwa ushauri wakuu
Kuanzia mwonekano hadi unapoiendesha pia ina mvuto flaniKwanin unasema tamu mkuu ?
Nimekusoma vizuriKuanzia mwonekano hadi unapoindesha pia ina mvuto flani
VIP fuel consumption ya Grand escudo?Prado za 1998 mpaka 2002 hazijambo kwa kuchomoka tairi za mbele hizo gari...na 70% ya ajali zake ni tairi zimechomoka...pia kwenye kona hazina stability kama gari zingine.
Grand escudo na kruger zinayo stability nzuri na safari ipo japo grand escudo inapepea zaidi unless ikutane na kruger la cc3000 V6....
NOTE: ukijadili kuhusu wese ujue muda wa kumiliki ndinga bado.
Naulizia fuel consumption ya grand escudo ipoje ?Prado za 1998 mpaka 2002 hazijambo kwa kuchomoka tairi za mbele hizo gari...na 70% ya ajali zake ni tairi zimechomoka...pia kwenye kona hazina stability kama gari zingine.
Grand escudo na kruger zinayo stability nzuri na safari ipo japo grand escudo inapepea zaidi unless ikutane na kruger la cc3000 V6....
NOTE: ukijadili kuhusu wese ujue muda wa kumiliki ndinga bado.
Sijajua kwa nini, ila mafundi wa Toyota Tanzania Limited, walinishauri nisinunue prado za Diesel... Sifahamu kama ilikuwa specific kwa model yangu au la...
Kama kawaida tu lita 8 kwa km100 kwenye highwayNaulizia fuel consumption ya grand escudo ipoje ?
Back up tyre ikoje hiyooNimeendesha gari nyingi sana ila bahati mbaya sina experience na Suzuki Grand Vitarw, ingawa kwa haraka naweza kuifananisha na Rav4 Kili Time!
Kluger ni nzuri sana ingawa haina back up tyre!
Prado iko poa sana ingawa tatizo lake kubwa ni kuchomoka ball joints, ingawa huwa hazichomoki ukiwa kwny hi speed!
Mie nyingi nimekutana na model za zamani... (Kwa hizi mpya bado cjaziona)... Hasa njiani unakuta kitu kimelala barabaraniHili la prado kuchomoka tairi na ball joints likoje wakuu? Halina tiba?
Kwa kigezo kipi hakuna 4WD... Labda ufafanue vzr. Nimetumia mfano wa kluger gari be4wdMi nachojua Kluger hakuna 4WD, ambayo kwangu ni kigezo muhimu sana.
Sina uhakika wa Suzuki ila Unapoangalia Prado kwenye mtandao angalia pia na Engine Capacity, Fuel Type, etc,
Usije ukachukua gari based on price likakushinda kulihudumia
Labda tufahamu kwanza tofauti ya 4WD na AWD nachojua mimi Kluger zipo ambazo ni AWD na sio 4WD kwa kuwa hazina optional.Kwa kigezo kipi hakuna 4WD... Labda ufafanue vzr. Nimetumia mfano wa kluger gari be4wd
Hapo sawaaLabda tufahamu kwanza tofauti ya 4WD na AWD nachojua mimi Kluger zipo ambazo ni AWD na sio 4WD kwa kuwa hazina optional.