Labda tufahamu kwanza tofauti ya 4WD na AWD nachojua mimi Kluger zipo ambazo ni AWD na sio 4WD kwa kuwa hazina optional.
ha ha haa....hiyo ni trekta ya kulimia vitunguu???Bora ununue hallia
Hallia ni gari gani. ?Bora ununue hallia
Na ni gari ya heshima....Ni moja ya kings of the roadtoyota prado is the best choice and you cant compare it with these two. its best in everything durability and comfortability.
Ugonjwa wa prado ni stability tu...kukutupa ni rahisi sana kama una rough driving na speeding za kijinga
Nashindwa kuelewa kwanini mnalinganisha mnyama Prado na vitu vya kijinga..??
Nah prado ts too much...endesha na spidi 40 kwenye rasta kubwa zile za lami utaona ukifika tairi za nyuma gari inahama kiu pande...drive it to 170km/hr utaona handling yake ipoje...den tuje kwenye prado new model east handling iko stable 180km/hr very comfortable handling...nenda kwenye vx landcruiser editions...prado tx walichemka kwenye stabilityKwa nini unasema ni ugonjwa wa Prado, nitajie gari yoyote ambayo center of gravity hiko juu halafu ina stability regardless ya speed and cornering - soma tena user manual kuhusu onyo linalo tolewa na wahundaji wa magari ya SUV type ambayo center of gravity yake hiko juu Prado ikiwa mojawapo.
Nah prado ts too much...endesha na spidi 40 kwenye rasta kubwa zile za lami utaona ukifika tairi za nyuma gari inahama kiu pande...drive it to 170km/hr utaona handling yake ipoje...den tuje kwenye prado new model east handling iko stable 180km/hr very comfortable handling...nenda kwenye vx landcruiser editions...prado tx walichemka kwenye stability
hapa tunaongelea prado tx zenye engine ya 3rz wengine wanaziita 95,hii gari ina base area ndogo na height kubwaKwa nini unasema ni ugonjwa wa Prado, nitajie gari yoyote ambayo center of gravity hiko juu halafu ina stability regardless ya speed and cornering - soma tena user manual kuhusu onyo linalo tolewa na wahundaji wa magari ya SUV type ambayo center of gravity yake hiko juu Prado ikiwa mojawapo.
Kuchemka kivipi? Nimekwambia kasome tena user manual inasemaje - mbona mimi sijawahi kukumbwa na matatizo ya handling wala stability ninacho fanya ni kufuata masharti yaliyo andikwa kwenye user manual,nakwebda spidi kubwa sehemu ambayo inaruhusu na ambapo hakuna crosswind si hilo tu nahakikisha vile vile nafunga midirisha yote na sunroof, nakata kona kwenye speed wanayo recommend, siyo mtu anaendesha gari anavyotaka na kupuuzia vitu ambavyo ni so obvious.
Watu wanakuja hapa na madai eti matairi ya Prado yanachomoka hovyo, gari unalo lifanyia service za mara kwa mara linawezaje kuchomoka tairi? Eti ball joint za mbele ni mbovu sana - uzushi mtupu.
Watu wengine wanafikiri hakuna ulazimisha wa kubadirisha ball joints from time to time, hawajui kwamba zinaplay role kubwa kwenye masuala ya handling na stability bila ya kusahau na suspension za mbele na nyuma, vyote hivyo vinapashwa kubarishwa on time siyo vinakaa kwenye gari miaka nenda rudi, actually service manual inaonyesha timeframe ya kitu gani ubadirishe kwenye gari baada ya muda fulani bila ya kujali muonekano wa spare iliyo fungwa kwenye gari, tatizo ni kwamba Waswahili tunapuuzia sana ushauri wa wahundaji magari.
Naomba msaada wenu wakuu. Nimezishotilist hizi gari tatu ili ninunue mojawapo.
Vigezo
Uimara kuhimili safari za vijijini kuwaona wazee
Confortability
Upatikanaji wa spea
Uchunguzi nilioufanya unaonesha kuwa kodi ya prado na grand escudo ni sawa ila ya kluger ipo chini kidogo. CIF ya grand escudo ipo chini kidogo ukilinganisha na prado
Kwa utashi wangu nimezirank kama ifuatavyo
1. Suzuki grand escudo
2. Toyota prado
3. Toyota kluger
Mimi napenda sana gari yenye back tire
Karibuni kwa ushauri wakuu
China we unapenda ipi, ile tulikua tunajadili Jana nakutumia uionemaamuzi ya mwisho ulinunua gari g
ani?
tuma picha hadi leo hujapata wakat nimepewa cheo cha utaalamuChina we unapenda ipi, ile tulikua tunajadili Jana nakutumia uione