mndumsolo Member Feb 11, 2011 51 8 Jul 21, 2011 #1 Wana JF nauliza ipi ni bora., kuuza nyumba na kutumia pesa na kimada au kumjengea nyumba kimada..?
Shagiguku JF-Expert Member Jan 9, 2010 407 133 Jul 21, 2011 #2 zote ni bora, na inategemea hapo una malengo gani
U Ulimakafu JF-Expert Member Mar 18, 2011 29,043 10,692 Jul 21, 2011 #4 Vema kumjengea nyumba,maana unaweza kutoa katika vyanzo vingine kuliko kuuza nyumba ambayo inaweza kuwa na manufaa kwa wengine.
Vema kumjengea nyumba,maana unaweza kutoa katika vyanzo vingine kuliko kuuza nyumba ambayo inaweza kuwa na manufaa kwa wengine.
BASHADA JF-Expert Member Jul 13, 2011 513 148 Jul 21, 2011 #8 Zote upupu tuu, imagine hizo hela ungeinvest na mkeo mgefanya jambo la maana. Ndo maana watu mishahara mikubwa lakini hawana kitu.
Zote upupu tuu, imagine hizo hela ungeinvest na mkeo mgefanya jambo la maana. Ndo maana watu mishahara mikubwa lakini hawana kitu.
ChelseaBlue Senior Member May 22, 2011 148 43 Jul 21, 2011 #10 kuuza nyumba na kutumia pesa na kimada...!
D designer spenko Member Jun 8, 2011 76 10 Jul 21, 2011 #11 bora kujenga kuliko kupeleka ela yote guest!!!!!!!!!!!!! utapata gest ya bure
First Born JF-Expert Member Jul 11, 2011 5,310 1,473 Jul 21, 2011 #13 afadhali mle hela, ukimjengea nyumba siku akichoka anakutoa baru, then anaamua kumvuta anaempenda. We utakuwa ume expire.
afadhali mle hela, ukimjengea nyumba siku akichoka anakutoa baru, then anaamua kumvuta anaempenda. We utakuwa ume expire.
K Kampini Senior Member Jul 15, 2011 140 28 Jul 21, 2011 #16 Tangu lini uzinzi ukawa bora? Hakuna iliyo bora hapo.