Mkuu ni note 2
Note 2 ni used ila Huawei p 7 ni mpya mkuu
Wanabodi,
Naomba kujua ni simu gani iliyo bora kati ya Samsung Galaxy Note na HuaweiP7? Naomba msaada wenu kwa anayeelewa maana najua kuwa JF kuna watu wenye uelewa wa kila aina..
Kama unafanya kazi za utafiti na operesheni za ardhini zinazohitaji vipimo na maelezo ya kuandika kwa haraka, chukua note 8.0 hata kama ni ile ya kwanza. Kama unataka kuonekana kuwa uko ulimwenguni na ni mmoja wa miungu watu na huhusiki katika shughuli nilizotaja hapo juu chukua HP7.
Mkuu huu ulonipa ni mtihani
Wanabodi,
Naomba kujua ni simu gani iliyo bora kati ya Samsung Galaxy Note na HuaweiP7? Naomba msaada wenu kwa anayeelewa maana najua kuwa JF kuna watu wenye uelewa wa kila aina..