iPhone Users!

iPhone Users!

Kwa mtu ambae yuko nyuma ya ios 11 anaweza vipi copy hizo voice clips na kusave kwenye files atakazo?

Fuata njia hiyo hiyo.
Press kwenye audio husika, click forward
Click share hapo utaona app ambazo unaweza kupeleka audio yako , app nzuri kwa experience yangu ni vlc ingawa zipo nyingi tu kama document 6 , unaweza peleka kwenye notes au media files kama idownloader zinapatikana App Store.

By the way kama simu yako ina support ios 11 (kuanzia 5s na kuendelea) fanya ku update mkuu kuna features nyingi humo.
 
Mkuu matusi hayafai , kuna nyuzi nyingi tu humu kama kitu hukijui pita achana nacho , nimesema huzijui iphone kwa sababu mbili kwanza ulisema lazima asikilizie whatsap huko huko that means hujui kwamba its possible ku save audio, post yako hii hapa
b9daceeda6a419fc9c475f0c54ab3764.jpg


Baada ya kuona post yangu ukani quote ukasema hiyo issue ya ku save imekuwa resolved kwenye ios 11 kitu ambacho kinaonesha hauko informed.

Sasa hapo utaamua mshamba nani mkuu.

Wapi tena nimekutukana,mbona sioni tusi???.
Acha maluweluwe.

Hakuna sehemu nimeandika ni LAZIMA kusikukilizia whatssapp huko huko,labda ungenionyesha.
 
Inakuja mfano wa hiyo + nikiselect hapo napata kuichukua na kuanza kudownload
 

Hii ndo njia sahihi , iko organised , inatembea na account yako hata uki switch device, content zake zote ni standard , ndo worlds largest vendor of music.
Wasanii wengi wanapenda itunes maana hamna pirating.
 
Habari!

Tafadhali...Nahitaji Kufahamu Jinsi ya Kudownload Music na Videos through iPhone Device.

Kuna app kwenye appstore inaitwa download n kama browser ukifungua youtube video inskuletea option ya kuidownload
 
Very easy mkuu

Unaweza hamishia sehem unayotaka mfano from whatsap to VLC au from whatsap to Files (uwe na ios 11) na ukazi organise vizuri sehem unayotaka , fanya kama una share then copy to other apps or save kweye files . Media zako zinakuwa organised vizuri tu .

Anza hivi , hapo kwenye alama ya share click hapo
362a4c79d414ef9086b8786a409b59c8.jpg


Then copy to any app /app yako unayotumia kwenye media au files kama unavyoona hapa chini
0938c25b7540712b593be41f905dbd12.jpg

Duuh hujui tu ulivyosaidia wengi na hii comment .... nimefuata mtiririko nimeweza
 
Kwa nini nikiingia itunes inaandika "cann't connect to itunes"
Pia nitawezaje ku-apdate ios version 7.1.2 kwenda ios 9,10au 11
Msaada wakuu
 
Samahani wadau kwa kuchomekea na hii shida yangu
Kwenye IPhone 8+ kuna iMessage na facetime nisha jaribu kuvitumia imeshindikana masaaada tafadhali
 
Samahani wadau kwa kuchomekea na hii shida yangu
Kwenye IPhone 8+ kuna iMessage na facetime nisha jaribu kuvitumia imeshindikana masaaada tafadhali

Unafahamu lakini kama ni mpaka uwe na mwenye iphone mwenzako,naye awe amejiunga na hizo huduma???
 
Kwa nini nikiingia itunes inaandika "cann't connect to itunes"
Pia nitawezaje ku-apdate ios version 7.1.2 kwenda ios 9,10au 11
Msaada wakuu

Nenda settings , iTunes App Store ingia hapo Badili region weka USA au nchi nyingine zinazo support iTunes purchase . Itakuja fasta
 
Back
Top Bottom