Hiyo ni Kama Miaka 6 ijayo,nitarudi hapa kukukumbusha mkuuNitainunua 2028
[emoji23][emoji23] aisee kashindwa kupata ka x au xr zipo hadi 700k mkuu
Mkuu sometimes sio kushindwa ni uamuzi wa mtu..mfano mimi nilinunua 7 plain enzi hizo tena nilipata mtu anatoka US akaja nayo mpaka leo nadunda nayo wala sijawah waza kununua nyingine
mwambie kuna SE 3 sokoni asituzingue[emoji16][emoji16][emoji16]aache ubahiri.Mshkaji wangu bado ana iphone 6s anadai yeye anapenda iphone yenye home button hivyo hana mpango wa kutoka hapo.
kwa sasa hadhi ya macho 3 iko chini sana maana mpaka sasa simu awamu 3 ziko sokoni.
mtu atashika macho matatu usielewe ana 11pro,11 max,12 pro 12 max,13 pro au 13 max.
hope watafanya kitu kwenye design ya camera huko nyuma,itaongezwa moja yenye madirisha ya kuzoom,maama upande wa zooming iphone analeta utoto wa kindergarten advance[emoji16][emoji16].
moja ya goals katika biashara za apple wanakwambia bidhaa yao ionekane na kutambulika kutokea mbali,hatuwezi kataa kasi ya mabadiriko ktk tech inawaacha mafundi wakati mwingine.Mkuu hizi macho 3 series labda kwa asie jua kuzitofautisha ukiangalia nyuma kwenye camera kuna utofauti sana tu lakn yakubid uwe makini.
Wamelazimishwa na EuropePicha hizi zimetoka kwa ma designer tofauti na zinakisiwa kuwa Inawezekana iphone 14 ikawa na muundo huu hapa kwa toleo lijalo na pia yaweza ikawa ndo mwanzo wa apple kuanza ku release mfumo wa charge za type C.[emoji116][emoji116]View attachment 2240921
View attachment 2240922
View attachment 2240923
View attachment 2240924
View attachment 2240925
View attachment 2240926
View attachment 2240927
View attachment 2240928
View attachment 2240929