Kila laini kwenye iPhone ina setting zake za intertnet zinazojitegemea, hivyo basi kila laini itahitaji configuration zake ukitaka kutumia internet au hotspot. Kutengeneza hotspot ya laini nyingine fanya hivi
1.Fungua settings na click sehemu ya "Mobile Data"
2.Baada ya hapo utaona sehemu ya carrier click "Mobile Data Network"
3.Scroll down na utaona sehemu ya "Personal Hotspot" edit sehemu ya APN andika internet
4.Rudi nyuma kwenye settings utaona Personal Hotspot badilisha password ya wi-fi utakayopenda kutumia (by default kuna password ambayo utahitaji kuiangalia ili kutumia)