mkorinto
JF-Expert Member
- Jun 11, 2014
- 30,750
- 37,362
Kuna kitu watu wenye maisha yao wanakiita Exclusivity. Maana yake ni upekee. Android nyingi hakuna tofauti kati ya mwenye ya $100 na wa $1000 but apple wanakupa wewe the extra sababu umelipa more. Leo hii mwenye samsung A51 anaweza kufanya almost kila anachoweza fanya mwenye s20 Plus. Ila ukiwa na iphone 7 tuu kuna vitu utakua unavikosa na vipo kwenye iphone 7Plus.
unazijua android za $1000 uliishaishika ukaona inafananaje!!!!
acheni unazi bana,embu kachukue flagship ya samsung 2016 s7 edge niambie inafanana na simu ipi ya android??
mfano uliotoa hapo haulingani hata kidogo,umeringaniaha mbingu na ardhi,hizo ni simu sio sawa hata kidogo,kuanzia nguvu,camera,upana na ubora wa kioo mpaka uimara.
apple wanachofanya ni kucheza na akili za wateja tu wao wakifanya baishara,kwamba tutoe simu mbili moja iwe nyekundu bei iwe juu,na nyeusi na nueupe bei ziwe ndogo.