iPhone ni kama gereza la kifahari. Ni kwajili ya fasheni tu, hutaweza kufanya vitu muhimu vifuatavyo...

Haujui simu wewe baki uko kwenye android nimetumia huwawei, Samsang na Nokia but iphone imenibamba
Unasema earphone hakuna tundu ndio maana kuna Ipond, betri unatoa kiurahisi unasema android simu nying now haziji na removable betri mfano Oppo, Xiom, infinix, tekno ata iphone betri kuisha au kuharibika wanafanya marekebisho kwa kuweka mpya.

Unasema kudownloads vitu kama nyimbo audiomack ipo, bolt ipo, Applemusic ipo,spotify ipo wewe unataka udownload kwa njia zako za free pirates ili uwe na mavirus mengi.

Sema Application za ovyo ndizo zipo android application nying ulizonazo ata kwenye IOS Zipo tena nzuri kuliko izo za android mfano podcast, facetime

Unaongelea issue ya kutembea na power bank unajua samsung ndio simu zinazoua sana betri yani inaisha pasipo taarifa.

Vifaa au spare za simu kama samsung touch tu bila 150k-250k ufanyi malekebisho.

Unaongelea kuback up unaijua icloud?
Yani kama haujui sasa ukiwa na iphone. Ukataka kuchange kwenda simu nyingine unaweza kufanya transfer ya kila kitu mpaka msg za kawaida, picha ,call history backup inafanyika tena vzr tu so usiongee kama haujui au ulishindwa tumia simu wewe.

Kutumia simu kama remote ata iphone unaweza tumia so iyo hojayako haina mashiko no reserch no right to speak
 
Haujui simu wewe baki uko kwenye android nimetumia huwawei, Samsang na Nokia but iphone imenibamba
Unasema earphone hakuna tundu ndio maana kuna Ipond,
umenivunja mbavu, nimekosa nguvu za kuendelea kusoma, hio ada uliyokula kwajili ya english course ili umiliki iphone hakika tumeona matokeo yake
 
Haujui simu wewe baki uko kwenye android nimetumia huwawei, Samsang na Nokia but iphone imenibamba
Unasema earphone hakuna tundu ndio maana kuna Ipond, betri unatoa kiurahisi unasema android simu nying now haziji na removable betri mfano Oppo, Xiom, infinix, tekno ata iphone betri kuisha au kuharibika wanafanya marekebisho kwa kuweka mpya.

Unasema kudownloads vitu kama nyimbo audiomack ipo, bolt ipo, Applemusic ipo,spotify ipo wewe unataka udownload kwa njia zako za free pirates ili uwe na mavirus mengi.

Sema Application za ovyo ndizo zipo android application nying ulizonazo ata kwenye IOS Zipo tena nzuri kuliko izo za android mfano podcast, facetime

Unaongelea issue ya kutembea na power bank unajua samsung ndio simu zinazoua sana betri yani inaisha pasipo taarifa.

Vifaa au spare za simu kama samsung touch tu bila 150k-250k ufanyi malekebisho.

Unaongelea kuback up unaijua icloud?
Yani kama haujui sasa ukiwa na iphone. Ukataka kuchange kwenda simu nyingine unaweza kufanya transfer ya kila kitu mpaka msg za kawaida, picha ,call history backup inafanyika tena vzr tu so usiongee kama haujui au ulishindwa tumia simu wewe.

Kutumia simu kama remote ata iphone unaweza tumia so iyo hojayako haina mashiko no reserch no right to speak
1: Huwawei
2: Samsang
3: ipond
4: Xiom
5: Tekno
6: Reserch

Hivi kumbe iPhone ina watumiaji dizain hii?
 
kuna ile tendency kwamba ukitumia kitu fulani ambacho ni cha gharama unaonekana tajiri...huo mkumbo ndo unaopelekea mtu fulani kuhisi akimiliki Apple ataonekana class yake ni ya juu...japokuwa watu wengine wanamiliki just kama kitu cha kawaida, wengine wanamiliki kwa sababu ni watu wachache wanamiliki....
Ni kweli uyasemayo kuna wengine ni mkumbo tu wamesikia obama anatumia iphone na wao vuuuu wanaingia kichwa kichwa....Natumia Huawei Xs.
 
Haujui simu wewe baki uko kwenye android nimetumia huwawei, Samsang na Nokia but iphone imenibamba
Unasema earphone hakuna tundu ndio maana kuna Ipond, betri unatoa kiurahisi unasema android simu nying now haziji na removable betri mfano Oppo, Xiom, infinix, tekno ata iphone betri kuisha au kuharibika wanafanya marekebisho kwa kuweka mpya.

Unasema kudownloads vitu kama nyimbo audiomack ipo, bolt ipo, Applemusic ipo,spotify ipo wewe unataka udownload kwa njia zako za free pirates ili uwe na mavirus mengi.

Sema Application za ovyo ndizo zipo android application nying ulizonazo ata kwenye IOS Zipo tena nzuri kuliko izo za android mfano podcast, facetime

Unaongelea issue ya kutembea na power bank unajua samsung ndio simu zinazoua sana betri yani inaisha pasipo taarifa.

Vifaa au spare za simu kama samsung touch tu bila 150k-250k ufanyi malekebisho.

Unaongelea kuback up unaijua icloud?
Yani kama haujui sasa ukiwa na iphone. Ukataka kuchange kwenda simu nyingine unaweza kufanya transfer ya kila kitu mpaka msg za kawaida, picha ,call history backup inafanyika tena vzr tu so usiongee kama haujui au ulishindwa tumia simu wewe.

Kutumia simu kama remote ata iphone unaweza tumia so iyo hojayako haina mashiko no reserch no right to speak
Sisi tunataka ku download free WASAKATONGE
 
Iphone inafanya multistaking na ilianza kuwa pure multi tasking kuanzia iOS 7 kabla ya hapo haikuwa pure multi-tasking. Namshangaa kwa kusema iphone haifanyi multi-tasking huenda simu ya mwisho ya iphone kutumia ilikuwa labda iphone 5.
Nilichoendelea kuandika hapo chini nilikuwa naongea malalamiko yake mengine kama ya ring tones n.k hayo yanawezekana pia kufanyika kwa mtu anayejua kucheza na iphone ila mtu akifanya hayo nitamshangaa kwanini apoteze muda kununua iPhone wakati anataka kufanya customization, si bora tu arudi android maana iPhone haijatengenezwa ikilenga waumiaji wanaotaka hicho.
Kwamba simu kuweka ringtone lazima uwe mjanja?

Isheep bwana.
 
kuna ile tendency kwamba ukitumia kitu fulani ambacho ni cha gharama unaonekana tajiri...huo mkumbo ndo unaopelekea mtu fulani kuhisi akimiliki Apple ataonekana class yake ni ya juu...japokuwa watu wengine wanamiliki just kama kitu cha kawaida, wengine wanamiliki kwa sababu ni watu wachache wanamiliki....
Kwani kiongozi Simba fc ni sawa na ndanda fc. Juu itabaki kua juu tu na ndio maana ata bei hazilingani, kumbuka iPhone ni mtu wa kutoa HIGHEND DEVICES TU, HAKUNA UTOPOLO.
 
Kwamba simu kuweka ringtone lazima uwe mjanja?

Isheep bwana.
Yah kwasababu lazimakwanza ukate wimbo uwe na sekunde kadhaa halafu uubadili format kutoka mp3, a vec kwenda format ya ringtones za iphone halafu uuweke kwenye special folder. Kwa mtumiaji wa kawaida hawezi kufanya hilo, na mimi nitamshangaa mtu ahangaike kufanya hayo yote kama anayataka si anunue android mtengenezaji wa iphone hakutengeneza kwa ajili ya customization za hivyo
 
Kama hata kuweka MEMORY CARD huwezi

Basi iphone Ni Simu ya kipumbavu kabisa tangia dunia imeumbwa.
Lengo ni kumantain performance ya simu kwa sababu memo stick nyingi zina reading an writing speed ndogo tena ukikutana fake ndo kabisa na zinaifanya simu inakuw slow. Ndiyo maana siku hizi unapewa gb kuanzia 64 kama internal memory bado una option ya kuhifadhi vitu kwenye icloud au drop box maana internet inaamia kwenye cloud sasa. Mtu akisema kuwa kuhifadhi vitu kwenye cloud ni gharama itakuwa kituko ununue simu ya million mbili uone kuhifadhi vitu kwenye cloud ni gharama, ni sawa na wale wanaolalamika V8 inakunywa sana wese wanataka inywe kama altezza
 
Cheee!!! nilikua nimepanga nivute Iphone XR aisee kama ndio matumizi hayo kwa mwezi wacha ni subiri hii samsung note 20
Hayo yatakuwa ya muda mrefu mkuu haiwezi kuwa kwa mwezi we gb 809 unazifanyoa nini kw mwezi unless awae anaitumia kama hotspot ofisini
 
Back
Top Bottom