NullPointer
JF-Expert Member
- Feb 7, 2011
- 3,461
- 2,284
Mkuu naomba orodhesha mambo unayokosa uki jailbrake iphone yako
Almost hakuna la maana zaidi ya wao Apple kukukosesha mambo ya maana kwasababu za kibiashara zaidi
Nishafanya hii procedure ila haimalizi kuisntall, inatoa error (#-1)
Binafsi sijawahi kushindwa kuinstall apps yoyote sababu simu yangu ipo jailbrokenApps nyingi za muhimu ambazo zina-involve security hazi-run kwenye jailbroken device, mfano online banking apps, bado warranty ndo imekufa hivo, sasa some devices huwezi kurestore completely, na kwa nini nipoteze muda kukomaa na vitu ambavyo haviko stable, still unakua wa mwisho kupata updates from apple, inakulazimu kujaribu kurestore then u-update, then usubiri hadi developers wajailbreak kila update mpya ikitoka. Why all that trouble
Apps nyingi za muhimu ambazo zina-involve security hazi-run kwenye jailbroken device, mfano online banking apps, bado warranty ndo imekufa hivo, sasa some devices huwezi kurestore completely, na kwa nini nipoteze muda kukomaa na vitu ambavyo haviko stable, still unakua wa mwisho kupata updates from apple, inakulazimu kujaribu kurestore then u-update, then usubiri hadi developers wajailbreak kila update mpya ikitoka. Why all that trouble
Mkuu labda niseme inategemea na matumizi yako ya simu yakoje maana kuna mwingine hata nokia ya tochi inamtosha kabisa
Kwa watu watundu na wanaopenda kucheza na simu zao iphone inakikwazo sana
Apple ni wazuri sana lakini kuna mambo mengine hadi unakaa unajiuliza hivi hizi tweaks za Cydia kwanini Apple wasizoweke zikawa ni sehemu ya functions za simu kabisa?
To be honest CCtoggle ni moja ya tweak itanifanya niendelee kujailbrake labda Apple waweke as default kwenye ios zake
Kuhusu security hadi hivi sasa hakuna virus wa maana anayeshambulia ios na inahitaji utaalamu wa juu sana kuhack ios sababu imekuwa jailbroken
Kwa uzoefu wangu Cydia kuna Apps nzuri zaidi za kukusaidia kupata simu yako ikiibiwa kuliko App store
Ukiwa na jailbroken idevice utakuwa huru zaidi almost utafanya kila anachofanya mtumiaji wa os nyingine
Hizo features zinazoongezeka baada ya jailbreaking zipo weak sana kunishawishi kujailbreak simu, ipad au macbook yangu.
I'm comfotable with the features zinazokuja na simu.
Upo sahihi mkuu kwamba wapo watu wanatumia kitochi na wapo comfortable na futures zake kwa asilimia mia
Ukweli utabaki alivyosema Jay Freeman (Saurik) " jailbroken is better than unjailbroken idevice
Ukijailbrake idevice yako hutakosa kitu ila utaongeza vitu
Na usipo jailbrake utakosa vitu
Haya mambo ni ya kimaskini maskini sana (figuratively)! Hivi ununue iPhone $600-700 afu uanze jailbreaking uli iweje? Tz kwa ujanja ujanja duh!
Kushusha hadhi ya apple, we ukitaka hizo kitu nunua tecno, huwawei & the like.
Mimi ni mpenz wa iphone na ios yake, lakini kama mnavyojua ios ina limitation nyingi sana na ndiyo maana watu wanaopenda tweaks wana prefer android.
Ila kwa watumiaji wa ios ukijailbreak device yako utaifaidi zaid mfano utaweza install whatsapp ++ upate features kibao, utaweza tumia whatsapp web ambayo kwa iphone bado officially hawajaitoa kutokana na limitations za ios.
Utaweza funga application yoyote unayotaka mfano mimi nimefunga whatsapp na app ya messeges huwezi zi access mpaka uweke passcode.
Utaweza customize simu kwa kuweka themes, ringtones nyingine tuma files via blutooth, share music via whatsapp japo pia hili lawezekana bila kujailbreak via shareApp lite.
Pia unaweza download app yoyote iliyopo app store hata kama ni ya kulipia bure na hii sio lazima simu iwe jailbroken.
Mbona nimeorodhesha faida nyingi au wewe unashindwa kusoma, au itakuwa hukusoma thread yote maana kuna sehemu nimeorodhesha mambo mengiNaona faida inayopata ni Whatsapp plus tu; nyingine umeshindwa kuorodhesha.
Yaani umeongea ukweli mtupu, mi nashangaa haya mambo sijui ya kuroot au Jailbreak..ni vijitabia vya kimaskini tuu..
Inaelekea mnaongea bila hata kujua nini hasa maana ya kujailbreak na kwanini watu wanajailbreak simu.
Unakuta ios inakoaa features flani ambazo wewe unahitaji, laiti zingekuwa zauzwa ungenunua lakini hata haziuzwi huna optional zaidi ya kujail break.
Sasa hapo umaskini uko wapi?
Fanya vyovyote huwezi pata msg deliverly report kwenye ios bila kujailbreak. Mfano huo tu una uhusiano gani na umaskini?
Sisi wengine ni washamba wa simu.nini maana ya jailbreak, na hatua zipi unazifuata ktk jailbreak?
Yaani umeongea ukweli mtupu, mi nashangaa haya mambo sijui ya kuroot au Jailbreak..ni vijitabia vya kimaskini tuu..
Naona faida inayopata ni Whatsapp plus tu; nyingine umeshindwa kuorodhesha.
Mkuu kuna tweak ya CCtoggle sijui kwanini Apple hawaiweki tukachagua vitu tunataka hadi niende setting etc etc etcInaelekea mnaongea bila hata kujua nini hasa maana ya kujailbreak na kwanini watu wanajailbreak simu.
Unakuta ios inakoaa features flani ambazo wewe unahitaji, laiti zingekuwa zauzwa ungenunua lakini hata haziuzwi huna optional zaidi ya kujail break.
Sasa hapo umaskini uko wapi?
Fanya vyovyote huwezi pata msg deliverly report kwenye ios bila kujailbreak. Mfano huo tu una uhusiano gani na umaskini?
Mkuu kuna tweak ya CCtoggle sijui kwanini Apple hawaiweki tukachagua vitu tunataka hadi niende setting etc etc etc
Au kutulazimisha faili la ukubwa kuanzia mb100 lazima udownload kwa wifi
Kuinyima safari browser uwezo wa kudownload au ku upload chochote
Au kuamua ku switch 2g au 3g
Au kilimit aina fulani tu ya mafaili ndio unaweza kuattach kutuma email
Huwezi kutuma video, music vitabu nk kwa whatsap
Wala email
Labda kama vipo camera roll