MKuu nakuchek inbox unichek kwenye namba yangu maana kwa kucopy naona kama ni garasa katisha maana UI ka OG nakupa namba yangu nitxt kawaida then ntakuscreenshot vitu vya kuangalia nijiridhshe.
Kwenye screenshot yako ya pili kitu pekee kinachonifanya nihisi sio OG ni font za Airtel na % ya betri kuwa bolded wakat saa tu ndiyo inabidi iwe bolded mengine yawe kawaida