Bavaria
JF-Expert Member
- Jun 14, 2011
- 53,092
- 53,568
I have iphone 5, inakula charge ndani ya muda mfupi sana inakuwa imeisha.
Kwa wale wenye iphone, mnatumia njia gani kuweka simu yako ikae na charge muda mrefu?
Pia, hapa Tanzania kuna genius bar wanaoweza kufungua na kuifanyia service iphone ikimaanisha kuifungua na kubadilisha battery??
Nawasilisha
Kwa wale wenye iphone, mnatumia njia gani kuweka simu yako ikae na charge muda mrefu?
Pia, hapa Tanzania kuna genius bar wanaoweza kufungua na kuifanyia service iphone ikimaanisha kuifungua na kubadilisha battery??
Nawasilisha