Glad to see iUser,
Broo ni hivi, ka ni iOS 6 kwenda down , basi thats hardware issue. No solution a.k.a battery damage
Am sure una iOS 6/later
Ka ni iOS 6
Always close, force quit social apps on the go.
Reduce brightness to 50% ad default
Reduce sound to LEDS THAN 50% always
More than dat its a hardware issue and in my knowledge no Apple Authorised Service Centres in TZ.
Ulitumia njia gani kusolve tatizo lako?? Nahisi nina tatizo kama lako
tanzania hamna genius bar labda upate fund tu mzr bas than kubalisha betry ndo ayo just be care with cellular data ... yang me iphne 5s nazima data kama situmii
Nadhani kauli sahihi ungesema ndio smartphone zilivyoTatizo sio battery. Ndio iPhone ilivyo!
Nasikia latest model, iPhone 6 battery itadumu siku moja na nusu!
Switch off vitu ambavyo huvitumii itasaidia kidogo sana. Nimebadilisha battery hamna tofauti yoyote!
Tatizo sio battery. Ndio iPhone ilivyo!
Nasikia latest model, iPhone 6 battery itadumu siku moja na nusu!
Switch off vitu ambavyo huvitumii itasaidia kidogo sana. Nimebadilisha battery hamna tofauti yoyote!
Wengi wameshauri hapo juu vizuri
Jitahidi kuzima data kama hutumii mara kwa mara
Jitahidi ku close app mara umalizapo kutumia
Punguza mwanga na sauti
Punguza kuwa bize na simu kila dakika unauchungulia hiki mara ufanye hivi mara vile
Kama unakaa sehemu 3g inapatikana kwa tabu bora kuweka edge maana simu inakua bize sana kusaka 3g
Zima wifi na bluetooth kama huzitumii
Kama haita saidia basi hilo ni tatizo la hardware yaani bettery
Kuwa makini mafundi wa kibongo hawakawii kukuharibia simu yako na bettery watakayo weka hukai nayo zaidi ya miezi 6 tatizo linakuwa kubwa zaidi utatamani kutafuta hii ya awali
Nadhani kauli sahihi ungesema ndio smartphone zilivyo
Hakuna smartphone inakaa na chaji kama ukiwa mtumiaji mkubwa wa simu
Nadhani kauli sahihi ungesema ndio smartphone zilivyo
Hakuna smartphone inakaa na chaji kama ukiwa mtumiaji mkubwa wa simu
zipo smartphone zinakaa na chaji, ulizia kwa wanaomiliki lenovo p780, watoe ushuhuda wao, lile simu kwanza linakuja na OTG cable mahususi kwa kutoa huduma ya kucharge simu nyingine, nilikuwa siamini ila nilivyokuja kuliona na heshima nikatoa.
Inawezekana mkuu nilikuwa nazungumia uzoefu wa iPhone ambayo at least nina uhakika nayo!
Nashukuru kwa msaada wako, nimefanya yote hayo, nitajaribu kubadili battery nione majibu yake.
Nikiona ni yaleyale nitajaribu kuupgrade kwenda iphone 5S au 6 nione majibu yake.
Pia hii ni device yangu ya kwanza kwenye upande wa apple. Nimeipenda sana
Ha ha ha. Mkuu nisipochungulia watajuaje kuwa nina iPhone japo zilipendwa 4S?Mkuu nina iphone 5s na S4
Kiukweli sioni tofauti yoyote ile, chaji itakaa kulingana na matumizi yako
Kitu kingine kikubwa kinamaliza sana chaji watu wasichokijua ni tabia ya kupenda kuchungulia chungulia simu kila dakika
Mwanga wa display ya simu unamaliza sana chaji kama kila mara unachungulia simu, na sisi wabongo tulivyo sasa unashangaa mtu kakaa toka posta hadi mbezi mwisho yupo bize na simu muda wote
Unakuta mtu ana social apps za kumwaga zinarum underground email nk, hapo simu haiwezi kudumu na chaji
Ha ha ha. Mkuu nisipochungulia watajuaje kuwa nina iPhone japo zilipendwa 4S?
Wewe badilisha battery kumbuka iphone 5 imetengenezwa mwaka 2012 so mpka leo life span ya battery imepungua sana au kwa kiasi kikubwa mie yangu nilibadilisha mwenyewe betri anyway kaka angu ana vile screw driver za kufungulia nikafungua nikachange n very easy....!!!!but now karibu kwenye iphone 6 mie mdau mkubwa za hizi makitu since iphone my BF alinileta huu ulimwengu sijutiiii kabisa kua na apple
Ha haaa
Mkuu nilipochukua iphone 5s basi kila sekunde naichokonoa mara hiki mara kile basi ikawa haikai kabisa na chaji, nikalaumu sana Apple wamechemka kwenye betrii kumbe ni mimi mwenyewe
Basi nilipo izoea mambo yakawa poa kabisa
Inawezekana hata mkuu Bulldog anakabiliwa na tatizo hili................just kidding