iPhone 5 inauzwa

Maseke ya Meme

JF-Expert Member
Jul 11, 2007
699
922
Ni nyeupe, factory unlocked, 16gb imetumika mwezi 1 tu. asking $650 negotiable pm for more info.
 
acha uwizi...... i bought i phone5 16 gb 200usd in beijing so tz haiwezi kuwa dat much and its used.View attachment 94329

Samahani mkuu, naomba uweke picha ya hiyo iphone5 yako uliyonunua dola 200 china na naomba uweke IMEI namba yake, maana naomba ni bei rahisi mno hata kama ingekuwa used, nimehamasika nami kununua, kwa hiyo bei

ZoomButt.gif
 
Utaendelea kuangalia bei za vitu mtandaoni ufe maskini msx ww

Nimecheki mkuu, imei number inaonesha iphone yake ni original. Ni iphone 5 white ya 16 gb, ambayo warranty yake itaisha tarehe 27 april, 2014
 
acha uwizi...... i bought i phone5 16 gb 200usd in beijing so tz haiwezi kuwa dat much and its used.View attachment 94329

Mkuu, hata kwa kuiangalia tu hiyo iPhone 5 yako naiona ni original! lakini mkuu bei ya dollar mia mbili mbona cheap sana, au inakuwa kwenye contract na network flani (locked)? Mkuu kama haitakuwa usumbufu nifanye ustaarabu nikiwa tayari nikutumie pesa uninunulie mbili, yangu na ya wife wangu mkuu! Huku used ukipata bei rahisi kuliko ni 750K!!!
Heshima Kwako
 
Yes hiyo yako ni ya kichina kama ulivysema no worries, bei za iphone 5 ni hizi check kwa link...

These Are the Prices for the Unlocked iPhone 5

Amazon.com: Buying Choices: Apple iPhone 5 16GB (White) - Unlocked

Na mimi nashuka hadi Tzs 900,000 sasa.

Kaka, iPhone ya Jorzy ni original hata ukiiangalia kwenye picha tu!!!..kuhakikisha nenda kwenye website ya apple gona IMEI yake utaiona. Kwa hiyo pesa sijui aliipataje tena mpya, nahisi itakuwa locked kwenye network flani walimuuzia kwa mkataba, la sivyo basi huko China wanauza bei nafuu sana na hawa wanaozileta wanapata SUPERPROFIT!
 
Last edited by a moderator:
Mkuu, hata kwa kuiangalia tu hiyo iPhone 5 yako naiona ni original! lakini mkuu bei ya dollar mia mbili mbona cheap sana, au inakuwa kwenye contract na network flani (locked)? Mkuu kama haitakuwa usumbufu nifanye ustaarabu nikiwa tayari nikutumie pesa uninunulie mbili, yangu na ya wife wangu mkuu! Huku used ukipata bei rahisi kuliko ni 750K!!!
Heshima Kwako
Angalia usije ukaImport iPhone ya kichina kwa kuangalia tu, ni lazima uikamate kwanza uione ndo uComnfirm kama ni OG. kwenye picha hivyo utaingia chaka..linganisha na bei za kwenye Apple Stores pia!!
 
Angalia usije ukaImport iPhone ya kichina kwa kuangalia tu, ni lazima uikamate kwanza uione ndo uComnfirm kama ni OG. kwenye picha hivyo utaingia chaka..linganisha na bei za kwenye Apple Stores pia!!

Ni kweli Mkuu, lakini picha aliyoweka ni ya kitu original, na IMEI pia ni ya kitu original...sema kama si mtu mwaminifu anaweza akaonesha original halafu akauza fake (kama wanavyofanya wachina flani).anyway ukiamua kufanya biashara na mtu kwenye mtandao inabidi umwamini tu...ukipoteza basi unapotezea, ni kama kutuma pesa UK kununua gari wakati muuzaji mmejuana facebook, good guys bado wapo naamini!
 
imei ukisha tumiwa unaicheki vipi tujuzane jamani tusije ingizwa mkenge ndio maana naipenda jamii forum
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom